Death and Resurrection

Introduction

The wages of sin is death. But God, who alone is immortal, will grant eternal life to His redeemed. Until that day death is an unconscious state for all people. When Christ, who is our life, appears, the resurrected righteous and the living righteous will be glorified and caught up to meet their Lord. The second resurrection, the resurrection of the unrighteous, will take place a thousand years later. (Rom. 6:23; 1 Tim. 6:15, 16; Eccl. 9:5, 6; Ps. 146:3, 4; John 11:11-14; Col. 3:4; 1 Cor. 15:51-54; 1 Thess. 4:13-17; John 5:28, 29; Rev. 20:1-10.)

The Philistine army moved into Shunem, set up its camp, and made ready to attack Israel. His mood far from optimistic, King Saul positioned Israel's army on nearby Mount Gilboa. In the past, the assurance of God's presence had enabled Saul to lead Israel against its foes fearlessly. But he had turned from serving the Lord, and when the apostate king had tried to contact God about the outcome of the impending battle, God had refused to communicate with him.

The ominous fear of the unknown morrow weighed heavily upon Saul. If only Samuel were here. But Samuel was dead and could no longer counsel him. Or could he?

Locating a medium who had escaped his earlier witch hunts, the tall king stooped to inquiring through her about the outcome of the next day's battle. He requested, "'Bring up Samuel for me.'" During the seance the medium "'saw a spirit ascending out of the earth.'" This spirit informed the hapless king that not only would Israel lose the war, but he and his sons would be killed (see 1 Samuel 28).

The prediction came true. But was it really Samuel's spirit that made the prediction? How could a medium, condemned by God, have power over the spirit of Samuel—God's prophet? And where did Samuel come from—why did his spirit arise "out of the earth"? What had death brought to Samuel? If it wasn't Samuel's spirit that spoke to Saul, who was it? Let us see what the Bible teaches on the subject of death, communication with the dead, and the resurrection.

Immortality and Death

Immortality is the state or quality of not being subject to death. The translators of Scripture used the word immortality to translate the Greek terms athanasia, "deathlessness," and aphtharsia, "incorruptibility." How does this concept relate to God and human beings?

Immortality

Scripture reveals that the eternal God is immortal (1 Tim. 1:17). In fact, He "alone has immortality" (1 Tim. 6:16). He is uncreated, self-existent, and has no beginning and no end (see chapter 2 of this book).

"The Scriptures nowhere describe immortality as a quality or state that man—or his 'soul' or 'spirit'—possesses inherently. The terms usually rendered 'soul' and 'spirit'. . . in the Bible occur more than 1,600 times, but never in association with the words 'immortal' or 'immortality'" (see chapter 7).

In contrast to God, then, human beings are mortal. Scripture compares their lives with "a vapor that appears for a little time and then vanishes away" (James 4:14). They are "but flesh, a breath that passes away and does not come again" (Ps. 78-39). Man "'comes forth like a flower and fades away; he flees like a shadow and does not continue'" (Job 14:2).

God and human beings differ markedly. God is infinite, they are finite. God is immortal, they are mortal. God is eternal, they are transitory.

Conditional Immortality

At Creation "God formed man of the dust of the ground, and breathed into his nostrils the breath of life; and man became a living being" (Gen. 2:7). The Creation account reveals that humanity derived life from God (cf. Acts 17:25, 28; Col. 1:16, 17). The corollary of this basic fact is that immortality is not innate to humanity but God's gift. When God created Adam and Eve, He gave them free will—the power of choice. They could obey or disobey, and their continued existence depended upon continual obedience through God's power. So their possession of the gift of immortality was conditional.

God carefully spelled out the condition upon which they would forfeit this gift—eating of "'the tree of the knowledge of good and evil.'" God warned them, when "'you eat of it you shall surely die'" (Gen. 2:17).

Death: The Wages of Sin

Contradicting God's warning that disobedience would bring death, Satan asserted, "'You will not surely die'" (Gen. 3:4). But after they transgressed God's command, Adam and Eve discovered that the wages of sin is, indeed, death (Rom. 6:23). Their sin brought this sentence: You shall "'return to the ground, for out of it you were taken; for dust you are, and to dust you shall return'" (Gen. 3:19). These words do not point to a continuation of life but to its cessation. After giving this sentence, God barred the sinful couple from the tree of life so that they could not "'eat, and live forever'" (Gen. 3:22). His action made it clear that the immortality promised on condition of obedience was lost through sin. They had now become mortal, subject to death. And because Adam could not transmit what he no longer possessed, "death spread to all men, because all sinned" (Rom. 5:12).

It was only God's mercy that kept Adam and Eve from dying immediately. The Son of God had offered to give His life so that they might have another opportunity—a second chance. He was "the Lamb slain from the foundation of the world" (Rev. 13:8).

Hope for Humanity

Although people are born mortal, the Bible encourages them to seek immortality (see, e.g., Rom. 2:7). Jesus Christ is the source of this immortality: "The gift of God is eternal life in Christ Jesus our Lord" (Rom. 6:23; cf. 1 John 5:11). He "has abolished death and brought life and immortality to light: (2 Tim. 1:10). "For as in Adam all die, even so in Christ all shall be made alive" (1 Cor. 15:22). Christ Himself said that His voice would open graves and resurrect the dead (John 5:28, 29).

If Christ had not come, the human situation would have been hopeless, and all who died would have perished eternally. Because of Him, however, no one need perish. Said John, "'For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life'" (John 3:16). So belief in Christ not only abolishes the penalty for sin, but it also secures for believers the priceless gift of immortality.

Christ brought "immortality to light through the gospel" (2 Tim. 1:10). Paul assures us that it is the Holy Scriptures that are able to make us "wise for salvation through faith which is in Christ Jesus" (2 Tim. 3:15). Those who do not accept the gospel will not receive immortality.

The Receiving of Immortality

The moment of the bestowal of the gift of immortality is described by Paul: "Behold, I tell you a mystery: We shall not all sleep, but we shall all be changed—in a moment, in the twinkling of an eye, at the last trumpet. For the trumpet will sound, and the dead will be raised incorruptible, and we shall be changed. For this corruptible must put on incorruption, and this mortal must put on immortality. So when this corruptible has put on incorruption, and this mortal has put on immortality, then shall be brought to pass the saying that is written: 'Death is swallowed up in victory'" (1 Cor. 15:51-54). This makes it very clear that God does not bestow immortality upon the believer at death but at the resurrection, when "the last trumpet" sounds. Then "this mortal" shall "put on immortality." While John points out that we receive the gift of eternal life when we accept Jesus Christ as personal Saviour (1 John 5:11-13), the actual realization of this gift will take place when Christ returns. Only then will we be changed from mortal to immortal, from corruptible to incorruptible.

The Nature of Death

If death is the cessation of life, what does the Bible say about a person's condition in death? What makes it important that Christians understand this Biblical teaching?

Death Is a Sleep

Death is not complete annihilation; it is only a state of temporary unconsciousness while the person awaits the resurrection. The Bible repeatedly calls this intermediate state a sleep.

Referring to their deaths, the Old Testament describes David, Solomon, and the other kings of Israel and Judah as sleeping with their forefathers (1 Kings 2:10; 11:43; 14:20, 31; 15:8; 2 Chron. 21:1; 26:23; etc.). Job called death a sleep (Job 14:10-12), as did David (Ps. 13:3), Jeremiah (Jer. 51:39, 57), and Daniel (Dan. 12:2).

The New Testament uses the same imagery. In describing the condition of Jairus' daughter, who was dead, Christ said that she was sleeping (Matt. 9:24; Mark 5:39). He referred to the deceased Lazarus in a similar manner (John 11:11-14). Matthew wrote that many "saints who had fallen asleep were raised" after Christ's resurrection (Matt. 27:52), and in recording Stephen's martyrdom, Luke wrote that "he fell asleep" (Acts 7:60). Both Paul and Peter also called death a sleep (1 Cor. 15:51, 52; 1 Thess. 4:13-17; 2 Peter 3:4). The Biblical representation of death as a sleep clearly fits its nature, as the following comparisons demonstrate: 1. Those who sleep are unconscious. "The dead know nothing" (Eccl. 9:5). 2. In sleep conscious thinking ceases. "His breath goeth forth, . . . in that very day his thoughts perish" (Ps. 146:4, KJV). 3. Sleep brings an end to all the days activities. "There is no work or device or knowledge or wisdom in the grave where you are going" (Eccl. 9:10). 4. Sleep disassociates us from those who are awake, and from their activities. "Nevermore will they have a share in anything done under the sun" (verse 6). 5. Normal sleep renders the emotions inactive. "Their love, their hatred, and their envy have now perished" (verse 6). 6. In sleep men do not praise God. "The dead do not praise the Lord" (Ps. 115:17). 7. Sleep presupposes an awakening. "'The hour is coming in which all who are in the graves will hear His voice and come forth'" (John 5:28, 29).

The Person Returns to Dust

To understand what happens to a person at death, one must understand what makes up his or her nature. The Bible portrays a person as an organic unity (see chapter 7 of this book). At times it uses the word soul to refer to the whole person, and at other times to the affections and emotions. But it does not teach that man comprises two separate parts. Body and soul only exist together; they form an indivisible union.

At humanity's creation, the union of the dust of the ground (earth's elements) and the breath of life produced a living being or soul. Adam did not receive a soul as a separate entity; he became a living soul (Gen. 2:7: see also chapter 7 of this book). At death the inverse takes place: the dust of the ground minus the breath of life yields a dead person or dead soul without any consciousness (Ps. 146:4). The elements that made up the body return to the earth from which they came (Gen. 3:19).

The soul has no conscious existence apart from the body, and no scripture indicates that at death the soul survives as a conscious entity. Indeed, "'the soul who sins shall die'" (Eze. 18:20).

The Abode of the Dead

The Old Testament calls the place where people go at death sheol (Hebrew), and the New Testament hades (Greek). In the Scripture, sheol most often simply means the grave.The meaning of hades is similar to that of sheol.

All the dead go into this place (Ps. 89:48), both the righteous and the wicked. Jacob said, "'I shall go down into the grave [sheol]'" (Gen. 37:35). When the earth opened "its mouth" to swallow the wicked Korah and his company, they went "'down alive into the pit [sheol]'" (Num. 16:30). Sheol receives the whole person at death. When Christ died, He went into the grave (hades) but at the Resurrection His soul left the grave (hades, Acts 2:27, 31, or sheol, Ps. 16:10). When David thanked God for healing, he testified that his soul was saved "from the grave [sheol]" (Ps. 30:3). The grave is not a place of consciousness. Since death is a sleep, the dead will remain in a state of unconsciousness in the grave until the resurrection, when the grave (hades) gives up its dead (Rev. 20:13).

The Spirit Returns of God

Though the body returns to dust, the spirit returns to God. Solomon said that at death "the dust will return to the earth as it was, and the spirit will return to God who gave it" (Eccl. 12:7). This is true of all, both the righteous and the wicked.

Many have thought that this text gives evidence that the essence of the person continues to live after death. But in the Bible neither the Hebrew nor the Greek term for spirit (ruach and pneuma, respectively) refers to an intelligent entity capable of a conscious existence apart from the body. Rather, these terms refer to the "breath"—the spark of life essential to individual existence, the life principle that animates animals and human beings (see chapter 7 of this book).

Solomon wrote, "'Man's fate is like that of the animals; the same fate awaits them both: As one dies, so dies the other. All have the same breath ["spirit," margin; ruach]; man has no advantage over the animal. . . . All go to the same place; all come from dust, and to dust all return. Who knows if the spirit [ruach] of man rises upward and if the spirit [ruach] of the animal goes down into the earth?'" (Eccl. 3:19-21, NIV). So, according to Solomon, at death there is no difference between the spirits of man and beast.

Solomon's statement that the spirit (ruach) returns to God who gave it indicates that what returns to God is simply the life principle that He imparted. There is no indication that the spirit, or breath, was a conscious entity separate from the body. This ruach can be equated with the "breath of life" that God breathed into the first human being to animate his lifeless body (cf. Gen. 2:7).

Harmony Through the Scriptures

Many honest Christians who have not studied the complete teaching of the Bible on death have been unaware that death is a sleep until the resurrection. They have assumed that various passages support the idea that the spirit or soul has a conscious existence after death. Careful study reveals that the consistent teaching of the Bible is that death causes the cessation of consciousness.

Spiritualism

If the dead are completely insensate, with whom or what do spiritualist mediums communicate?

Every honest person will admit that at least some of these phenomena are fraudulent; but others cannot be explained as such. There obviously is some supernatural power connected with spiritualism. What does the Bible teach on this point?

1. The basis of spiritualism

Spiritualism originated with Satan's first lie to Eve—"'You will not surely die'" (Gen. 3:4). His words were the first sermon on the immortality of the soul. Today, throughout the world, religions of all sorts unwittingly repeat this error. For many, the divine sentence that "the soul who sins shall die" (Eze. 18:20) has been reversed to say "the soul, even though it sins, shall live eternally."

This erroneous doctrine of natural immortality has led to belief in consciousness in death. As we have seen, these positions directly contradict the Biblical teaching on this subject. They were incorporated into the Christian faith from pagan philosophy—particularly that of Plato—during the time of the great apostasy (see chapter 12 of this book). These beliefs became the prevailing view within Christianity and continue to be the dominant view today. Belief that the dead are conscious has prepared many Christians to accept spiritualism. If the dead are alive and in the presence of God, why could they not return to earth as ministering spirits? And if they can, why not try to communicate with them to receive their counsel and instruction, to avoid misfortune, or to receive comfort in sorrow?

Building on this line of reasoning, Satan and his angels (Rev. 12:4, 9) have established a channel of communication through which they can accomplish their deception. Through such means as spiritualistic seances they impersonate departed loved ones, bringing supposed comfort and assurance to the living. At times they predict future events, which, when proved to be accurate, give them credibility. Then the dangerous heresies they proclaim take on the patina of authenticity, even though they contradict the Bible and God's law. Having removed the barriers against evil, Satan has free rein to lead people away from God and to certain destruction.

2. Warning against spiritualism

No one need be deceived by spiritualism. The Bible clearly exposes its claims as false. As we have seen, the Bible tells us that the dead do not know anything, that they lie unconscious in the grave.

The Bible also strongly forbids any attempt to communicate with the dead or the spirit world. It says that those who claim to communicate with the dead, as spiritualistic mediums do today, are actually communicating with "familiar spirits" that are "spirits of devils." The Lord said these activities were abominations, and that those who perpetrated them were to be punished by death (Lev. 19:31; 20:27; cf. Deut. 18:10, 11).

Isaiah expressed well the foolishness of spiritualism: "When they say to you, 'Seek those who are mediums and wizards, who whisper and mutter,' should not a people seek their God? Should they seek the dead on behalf of the living? To the law and to the testimony! If they do not speak according to this word, it is because there is no light in them" (Isa. 8:19, 20). Indeed, only the teachings of the Bible can safeguard Christians against this overwhelming deception.

3. Manifestations of spiritualism

The Bible records a number of spiritualistic activities—from the magicians of Pharaoh and the magicians, astrologers, and sorcerers of Nineveh and Babylon to the witches and mediums of Israel—and condemns them all. One example is the seance the witch of Endor conjured for Saul with which we began this chapter.

Scripture says, "When Saul inquired of the Lord, the Lord did not answer him, either by dreams or by Urim or by the prophets" (1 Sam. 28:6). God, then, had nothing to do with what happened at Endor. Saul was deceived by a demon impersonating the dead Samuel; he never saw the real Samuel. The witch saw the form of an old man while Saul only "perceived" or concluded that it was Samuel (verse 14). If we are to believe that that apparition truly was Samuel, we must be prepared to believe that witches, wizards, necromancers, sorcerers, spiritualists, or mediums can call the righteous dead from wherever they go when they die. We must also accept that the godly Samuel existed in a conscious state in the earth, because the old man ascended "out of the earth" (verse 13).

This seance brought Saul despair, not hope. The next day he committed suicide (1 Sam. 31:4). Yet the so-called Samuel had predicted that on that day Saul and his sons would be with him (1 Sam. 28:19). If he were correct, we would have to conclude that after death the disobedient Saul and the righteous Samuel dwelt together. Instead, we must conclude that an evil angel brought about the deceptive events that occurred at this seance.

4. The final delusion

In the past the manifestations of spiritualism were confined to the realm of the occult, but more recently spiritualism has taken on a "Christian" appearance so that it might deceive the Christian world. In professing to accept Christ and the Bible, spiritualism has become an extremely dangerousenemy to believers. Its effects are subtle and deceptive. Through the influence of spiritualism "the Bible is interpreted in a manner that is pleasing to the unrenewed heart, while its solemn and vital truths are made of no effect. Love is dwelt upon as the chief attribute of God, but it is degraded to a weak sentimentalism, making little distinction between good and evil. God's justice, His denunciations of sin, the requirements of His holy law, are all kept out of sight. The people are taught to regard the Decalogue as a dead letter. Pleasing, bewitching fables captivate the senses and lead men to reject the Bible as the foundation of their faith."

Through this means right and wrong become relative and each person, or situation, or culture becomes the norm as to what is "truth." In essence each person becomes a god, fulfilling Satan's promise that "ye shall be as gods" (Gen. 3:5, KJV).

Before us is "'the hour of trial which shall come upon the whole world, to test those who dwell on the earth'" (Rev. 3:10). Satan is about to use great signs and miracles in his final effort to deceive the world. Speaking of this masterful delusion, John said, "I saw three unclean spirits like frogs. . . . They are spirits of demons, performing signs, which go out to the kings of the earth and of the whole world, to gather them to the battle of that great day of God Almighty" (Rev. 16:13, 14; cf. 13:13, 14).

Only those who are kept by the power of God, having their minds fortified with the truths of Scripture, accepting it as their only authority, will be able to escape. All others have no protection and will be swept away by this delusion.

The First and Second Deaths

The second death is the final punishment of unrepentant sinners—all whose names are not written is the book of life—that takes place at the end of the 1000 years (see chapter 26). From this death there is no resurrection. With the destruction of Satan and the unrighteous, sin is eradicated and death itself is destroyed (1 Cor. 15:26; Rev. 20:14; 21:8). Christ has given the assurance that everyone "'who overcomes shall not be hurt by the second death'" (Rev. 2:11).

Based on what Scripture has designated the second death, we can assume that the first death is what every person—except those who are translated—experiences as a result of Adam's transgression. It is "the normal outworking on humanity of the degenerative effects of sin."

Resurrection

Resurrection is "the restoration of life, together with fullness of being and personality, subsequent to death."  Because humanity is subject to death, there must be a resurrection if they are to experience life beyond the grave. Throughout the Old and New Testaments, God's messengers have expressed hope in a resurrection (Job 14:13-15; 19:25-29; Ps.49:15; 73:24; Isa. 26:19;1 Cor. 15.).

The hope of the resurrection, for which we have solid evidence, encourages us that we can enjoy a better future beyond this present world in which death is the destiny of all.

Christ's Resurrection

The resurrection of the righteous dead to immortality is closely associated with Christ's resurrection because it is the resurrected Christ who eventually will raise up the dead (John 5:28, 29).

1. Its importance

What would have happened if Christ had not been resurrected? Paul summarizes the consequences: a. There would be no use in preaching the gospel: "If Christ is not risen, then our preaching is vain" (1 Cor. 15:14). b. There would be no forgiveness of sins: "And if Christ is not risen,. . . you are still in your sins!" (verse 17). c. There would be no purpose in believing in Jesus: "And if Christ is not risen, your faith is futile" (verse 17). d. There would be no general resurrection from the dead: "Now if Christ is preached that He has been raised from the dead, how do some among you say that there is no resurrection of the dead?" (verse 12). e. There would be no hope beyond the grave: "If Christ is not risen,. . . Then also those who have fallen asleep in Christ have perished" (verses 17, 18).

2. A bodily resurrection

The Christ who came from the tomb was the same Jesus who lived here in the flesh. Now He had a glorified body, but it was still a real body. It was so real that others did not even notice a difference (Luke 24:13-27; John 20:14-18). Jesus Himself denied that He was some kind of spirit or ghost. Speaking to His disciples He said, "'Behold My hands and My feet. . . Handle Me and see, for a spirit does not have flesh and bones as you see I have'" (Luke 24:39). To prove the physical reality of His resurrection, He also ate in their presence (verse 43).

3. Its impact

The Resurrection had an electrifying impact on Christ's disciples. It transformed a group of weak and frightened men into valiant apostles ready to do anything for their Lord (Phil. 3:10, 11; Acts 4:33). The mission they undertook as a result of it shook the Roman Empire and turned the world upside down (Acts 17:6).

"It was the certainty of Christ's resurrection that brought point and power to the preaching of the gospel (cf. Phil. 3:10, 11). Peter speaks of the 'resurrection of Jesus Christ from the dead' as producing a 'lively hope' in believers (1 Peter 1:3). The apostles considered themselves ordained to be witnesses 'of his resurrection' (Acts 1:22), and based their teaching of the resurrection of Christ on the Messianic predictions of the Old Testament (Acts 2:31). It was their personal knowledge of 'the resurrection of the Lord Jesus' that gave 'great power' to their witness (Acts 4:33). The apostles drew the opposition of the Jewish leaders when they went forth preaching 'through Jesus the resurrection from the dead' (verse 2). . . . When arraigned beforethe Sanhedrin, Paul declared that it was because of his 'hope and resurrection of the dead' that he had been 'called in question' before them (Acts 23:6; cf. 24:21). To the Romans, Paul wrote that Jesus Christ was 'declared to be the Son of God with power. . . by the resurrection from the dead' (Rom. 1:4). In baptism, he explained, the Christian testifies to his faith in the resurrection of Christ (Rom. 6:4, 5)."

The Two Resurrections. Christ taught that there are two general resurrections: a "'resurrection of life'" for the just and a "'resurrection of condemnation'" for the unjust (John 5:28, 29; Acts 24:15). The 1000 years separates these resurrections (Rev. 20:4, 5).

1. The resurrection of life

Those who are raised in the first resurrection are called "blessed and holy" (Rev. 20:6). They will not experience the second death in the lake of fire at the close of the 1000 years (verse 14). This resurrection to life and immortality (John 5:29; 1 Cor. 15:52, 53) takes place at the Second Advent (1 Cor. 15:22, 23; 1 Thess. 4:15-18). Those who experience it cannot die anymore (Luke 20:36). They are united with Christ forever.

What will the resurrected body be like? Like Christ, the resurrected saints will have real bodies. And as Christ arose a glorified being, so will the righteous. Paul said that Christ "will transform our lowly body that it may be conformed to His glorious body" (Phil. 3:21). He calls the unglorified body and the glorified one the "natural body" and the "spiritual body," respectively; the former being mortal and corruptible, the latter immortal and imperishable. The change from mortality to immortality takes place instantaneously at the resurrection (see 1 Cor. 15:42-54).

2. The resurrection of condemnation

The unrighteous are raised in the second general resurrection, which takes place at the end of the 1000 years (see chapter 26 of this book). This resurrection proceeds to the final judgment and condemnation (John 5:29). Those whose names are not found in the book of life will be raised at this time and "cast into the lake of fire" and experience the second death (Rev. 20:15, 14).

They could have avoided this tragic end. In unmistakable language Scripture presents God's way to escape: "'Repent! Turn away from all your offenses; then sin will not be your downfall. Rid yourselves of all the offenses you have committed, and get a new heart and a new spirit. Why will you die?. . . For I take no pleasure in the death of anyone, declares the Sovereign Lord. Repent and live!'" (Eze. 18:30-32, NIV).

Christ promises that "'he who overcomes shall not be hurt at all by the second death'" (Rev. 2:11). Those who accept Jesus and the salvation He brings will experience an indescribable joy at His climactic return. In never-fading happiness, they will spend eternity fellowshipping with their Lord and Saviour.

×0001020304050607080910111213141516171819202122232425262728
Warumi 6:23X
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
1 Timotheo 6:15X
15 Kwa maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.
Mhubiri 9:5, 6X
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. 6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Zaburi 146:3, 4X
3 Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake. 4 Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake, Siku hiyo mawazo yake yapotea.
Yohana 11:11-14X
11 Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha. 12 Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona. 13 Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi. 14 Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.
Wakolosai 3:4X
4 Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu.
1 Wakorintho 15:51-54X
51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. 54 Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda.
1 Wathesalonike 4:13-17X
13 Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. 14 Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. 15 Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. 16 Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
Yohana 5:28, 29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. 29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Ufunuo 20:1-10X
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu; 3 akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache. 4 Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu. 5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu. 6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu. 7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. 9 Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala. 10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
1 Samweli 28X
1 Ikawa siku zile hao Wafilisti wakakusanya majeshi yao waende vitani, ili kupigana na Israeli. Naye Akishi akamwambia Daudi, Jua hakika ya kuwa wewe utatoka pamoja nami jeshini, wewe na watu wako. 2 Naye Daudi akamwambia Akishi, Vema, sasa utajua atakayoyatenda mtumishi wako. Naye Akishi akamwambia Daudi, Haya basi! Mimi nitakufanya wewe kuwa mlinda kichwa changu daima. 3 Basi Samweli alikuwa amefariki dunia, nao Israeli wote walikuwa wamemwomboleza, na kumzika huko Rama, ndani ya mji wake mwenyewe. Tena Sauli alikuwa amewaondolea mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi. 4 Nao Wafilisti wakakusanyika, wakaenda kufanya kambi huko Shunemu; naye Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga hema katika Gilboa. 5 Basi alipowaona hao majeshi ya Wafilisti, huyo Sauli akaogopa, na moyo wake ukatetemeka sana. 6 Lakini Sauli alipouliza kwa Bwana, Bwana hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii. 7 Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori. 8 Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako. 9 Yule mwanamke akamwambia, Angalia, unajua alivyofanya Sauli, jinsi alivyowakatilia mbali hao wenye pepo wa utambuzi na wachawi katika nchi; mbona basi wanitegea tanzi uhai wangu, ili kuniua? 10 Naye Sauli akamwapia kwa Bwana, akasema, Aishivyo Bwana, haitakupata adhabu yo yote kwa jambo hili. 11 Ndipo yule mwanamke aliposema, Je! Ni nani nitakayekupandishia? Naye akasema, Nipandishie Samweli. 12 Hata yule mwanamke alipomwona Samweli alilia kwa sauti kuu; na yule mwanamke akamwambia Sauli, akasema, Mbona umenidanganya? Kwa kuwa wewe ndiwe Sauli. 13 Mfalme akamwambia Usiogope; waona nini? Yule mwanamke akamwambia Sauli, Naona mungu anatoka katika nchi. 14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia. 15 Ndipo Samweli akamwambia Sauli, Mbona umenitaabisha mimi, hata kunipandisha juu? Sauli akajibu, Mimi nimetaabika sana; kwa kuwa hao Wafilisti wananifanyia vita, naye Mungu ameniacha; hanijibu tena, wala kwa manabii, wala kwa ndoto; kwa hiyo nimekuita wewe, ili wewe unijulishe nifanyeje. 16 Samweli akasema, Kwa nini kuniuliza mimi, akiwa Bwana amekuacha, naye amekuwa adui yako? 17 Yeye Bwana amekutendea kama alivyosema kwa kinywa changu; Bwana amekurarulia ufalme mkononi mwako, na kumpa jirani yako, yaani, Daudi. 18 Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya Bwana, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii Bwana amekutendea hili leo. 19 Tena pamoja na wewe Bwana atawatia Israeli mikononi mwa Wafilisti; hata na kesho wewe na wanao mtakuwapo pamoja nami; tena Bwana atawatia jeshi la Israeli pia mikononi mwa Wafilisti. 20 Mara Sauli akaanguka chini kifulifuli, akaingiwa na hofu kuu kwa sababu ya maneno hayo ya Samweli, wala hakuwa na nguvu yo yote; kwa maana hakula chakula mchana kutwa, wala usiku kucha. 21 Ndipo yule mwanamke akamwendea Sauli, akamwona ya kuwa yeye ametaabika sana, akamwambia, Angalia, mjakazi wako ameisikiliza sauti yako, nami nimeutia uhai wangu mkononi mwangu, nami nimeyasikiliza maneno yako uliyoniambia. 22 Basi sasa, tafadhali, wewe uisikilize sauti ya mjakazi wako, nikakuandalie ngaa mkate kidogo; ukale, ili upate nguvu, utakapokwenda zako. 23 Lakini yeye alikataa, akasema, Mimi sitaki kula. Ila watumishi wake, pamoja na yule mwanamke, wakamlazimisha; naye akaisikiliza sauti yao. Basi akainuka hapo chini, akaketi juu ya kitanda. 24 Naye yule mwanamke alikuwa na ndama aliyenona nyumbani; akafanya haraka kumchinja; akatwaa na unga, akaukanda, akafanya mkate wa mofa kwa unga huo; 25 kisha akamwandalia Sauli na watumishi wake; wakala. Ndipo wakaondoka, wakaenda zao usiku ule.
1 Timotheo 1:17X
17 Sasa kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kuona uharibifu, asiyeonekana, Mungu peke yake, na iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina.
1 Timotheo 6:16X
16 ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina.
Yakobo 4:14X
14 walakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa kitambo, kisha hutoweka.
Zaburi 78:39X
39 Akakumbuka ya kuwa wao ni kiwiliwili, Upepo upitao wala haurudi.
Ayubu 14:2X
2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Mwanzo 2:7X
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Matendo 17:25, 28X
25 wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote. 28 Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake.
Wakolosai 1:16,17X
16 Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. 17 Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
Warumi 6:23X
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Mwanzo 2:17X
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Mwanzo 3:4X
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Warumi 6:23X
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Mwanzo 3:19X
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Mwanzo 3:22X
22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;
Warumi 5:12X
12 Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi;
Ufunuo 13:8X
8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.
Warumi 2:7X
7 wale ambao kwa saburi katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutokuharibika, watapewa uzima wa milele;
Warumi 6:23X
23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
1 Yohana 5:11X
11 Na huu ndio ushuhuda, ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika Mwanawe.
2 Timotheo 1:10X
10 na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili;
1 Wakorintho 15:22X
22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa.
Yohana 5:28, 29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake.
Yohana 3:16X
16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
2 Timotheo 1:10X
10 na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili;
2 Timotheo 3:15X
15 na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.
1 Wakorintho 15:51-54X
51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. 54 Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda.
1 Yohana 5:11-13X
11 Na huu ndio ushuhuda, ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; na uzima huu umo katika Mwanawe. 12 Yeye aliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima. 13 Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu.
1 Wafalme 2:10X
10 Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi.
1 Wafalme 11:43X
43 Naye Sulemani akalala na baba zake, akazikwa katika mji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu mwanawe akatawala mahali pake.
1 Wafalme 14:20X
43 Naye Sulemani akalala na baba zake, akazikwa katika mji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu mwanawe akatawala mahali pake.
1 Wafalme 15:8X
8 Abiya akalala na baba zake, wakamzika mjini mwa Daudi. Akatawala Asa mwanawe mahali pake.
2 M. Nyakati 21:1X
1 Yehoshafati akalala na babaze, akazikwa pamoja na babaze katika mji wa Daudi; akatawala Yehoramu mwanawe mahali pake.
2 M. Nyakati 26:23X
23 Basi Uzia akalala na babaze; wakamzika pamoja na babaze katika konde la kuzikia la wafalme; kwa kuwa walisema, Huyu ni mwenye ukoma. Na Yothamu mwanawe akatawala mahali pake.
Ayubu 14:10-12X
10 Lakini mwanadamu hufa, huifariki dunia; Naam, mwanadamu hutoa roho, naye yupo wapi? 11 Kama vile maji kupwa katika bahari, Na mto kupunguka na kukatika; 12 Ni vivyo mwanadamu hulala chini, asiinuke; Hata wakati wa mbingu kutokuwako tena, hawataamka, Wala kuamshwa usingizini.
Zaburi 13:3X
3 Ee Bwana, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti.
Yeremia 51:39, 57X
39 Wakiingiwa na ukali, nitawafanyizia karamu yao, nami nitawalevya, wapate kufurahi, na kulala usingizi wa milele, wasiamke tena, asema Bwana. 57 Nami nitawalevya wakuu wake, na watu wake wenye hekima, maliwali wake, na maakida wake, na mashujaa wake; nao watalala usingizi wa milele, wasiamke, asema Mfalme, Bwana wa majeshi, ambaye jina lake ni Bwana.
Danieli 12:2X
2 Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele.
Mathayo 9:24X
24 akawaambia, Ondokeni; kwa maana kijana hakufa, amelala tu. Wakamcheka sana.
Marko 5:39X
39 Alipokwisha kuingia, akawaambia, Mbona mnafanya ghasia na kulia? Kijana hakufa, bali amelala tu.
Yohana 11:11-14X
11 Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha. 12 Basi wale wanafunzi wakamwambia, Bwana, ikiwa amelala, atapona. 13 Lakini Yesu alikuwa amenena habari ya mauti yake; nao walidhania ya kuwa ananena habari ya kulala usingizi. 14 Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.
Mathayo 27:52X
52 makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;
Mathayo 27:53X
53 nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi.
Matendo 7:60X
Akapiga magoti, akalia kwa sauti kuu, Bwana, usiwahesabie dhambi hii. Akiisha kusema haya akalala. Na Sauli alikuwa akiona vema kwa kuuawa kwake.
1 Wakorintho 15:51,52X
51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika.
1 Wathesalonike 4:13-17X
13 Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. 14 Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. 15 Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. 16 Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
2 Petro 3:4X
4 na kusema, Iko wapi ahadi ile ya kuja kwake? Kwa maana, tangu hapo babu zetu walipolala, vitu vyote vinakaa hali iyo hiyo, tangu mwanzo wa kuumbwa.
Mhubiri 9:5X
5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
Zaburi 146:4X
4 Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake, Siku hiyo mawazo yake yapotea.
Mhubiri 9:10X
10 Lo lote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.
Mhubiri 9:6X
6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Mhubiri 9:6X
6 Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao, imepotea yote pamoja; wala hawana sehemu tena katika jambo lo lote lililofanyika chini ya jua.
Yohana 5:28,29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. 29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Mwanzo 2:7X
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Zaburi 146:4X
4 Pumzi yake hutoka, huurudia udongo wake, Siku hiyo mawazo yake yapotea.
Mwanzo 3:19X
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Ezekieli 18:20X
20 Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake.
Zaburi 89:48X
48 Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti, Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?
Mwanzo 37:35X
35 Wanawe wote, na binti zake wote, wakaondoka wamtulize, lakini akakataa kutulizwa, akasema, La! Nitamshukia mwanangu, nikisikitika, hata kuzimu. Baba yake akamlilia.
Hesabu 16:30X
30 Lakini Bwana akiumba kitu kipya, na hiyo nchi ikifunua kinywa chake na kuwameza, pamoja na wote walio nao, nao washukia shimoni wali hai; ndipo mtatambua ya kwamba watu hawa wamemdharau Bwana
Matendo 2:27,31X
27 Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu. 31 yeye mwenyewe akitangulia kuyaona haya, alitaja habari za kufufuka kwake Kristo, ya kwamba roho yake haikuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuona uharibifu.
Zaburi 16:10X
10 Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.
Ufunuo 20:13X
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Mhubiri 12:7X
7 Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.
Mhubiri 3:19-21X
19 Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili. 20 Wote huendea mahali pamoja; wote hutoka katika mavumbi; na hata mavumbini hurudi tena. 21 Ni nani ajuaye kama roho ya binadamu huenda juu, na kama roho ya mnyama huenda chini?
Mwanzo 2:7X
7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Mwanzo 3:4X
4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa,
Ezekieli 18:20X
4 Tazama, roho zote ni mali yangu; kama vile roho ya baba ni mali yangu, ndivyo ilivyo roho ya mwana mali yangu; roho ile itendayo dhambi itakufa.
Ufunuo 12:4, 9X
4 Na mkia wake wakokota theluthi ya nyota za mbinguni, na kuziangusha katika nchi. Na yule joka akasimama mbele ya yule mwanamke aliye tayari kuzaa, ili azaapo, amle mtoto wake. 9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
M. Walawi 19:31X
31 Msiwaendee wenye pepo, wala wachawi; msiwatafute; ili kutiwa unajisi na wao; Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
K. Torati 18:10,11X
10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, 11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.
Isaya 8:19, 20X
19 Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai? 20 Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi.
1 Samweli 28:6X
6 Lakini Sauli alipouliza kwa Bwana, Bwana hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.
1 Samweli 28:14X
14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.
1 Samweli 28:14X
14 Naye akamwuliza, Ni mfano wa nini? Akajibu, Ni mzee anazuka; naye amefunikwa vazi. Basi Sauli akatambua ya kwamba ndiye Samweli mwenyewe, akainama uso wake mpaka nchi, akasujudia.
1 Samweli 28:19X
19 Tena pamoja na wewe Bwana atawatia Israeli mikononi mwa Wafilisti; hata na kesho wewe na wanao mtakuwapo pamoja nami; tena Bwana atawatia jeshi la Israeli pia mikononi mwa Wafilisti.
Mwanzo 3:5X
5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Ufunuo 3:10X
5 Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, wala sitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, nami nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu, na mbele ya malaika zake.
Ufunuo 16:13, 14X
13 Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha yule joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. 14 Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Ufunuo 13:13, 14X
13 Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu. 14 Naye awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
1 Wakorintho 15:26X
26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.
Ufunuo 20:14X
14 Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.
Ufunuo 21:8X
8 Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Ufunuo 2:11X
11 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.
Ayubu 14:13-15X
13 Laiti ungenificha kuzimuni, Ukanilinda kwa siri, hata ghadhabu zako zitakapopita, Na kuniandikia muda ulioamriwa, na kunikumbuka! 14 Mtu akifa, je! Atakuwa hai tena? Mimi ningengoja siku zote za vita vyangu, Hata kufunguliwa kwangu kunifikilie. 15 Wewe ungeita, nami ningekujibu; Ungekuwa na tamaa ya kazi ya mikono yako.
Ayubu 19:25-29X
25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi. 26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu; 27 Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine. Mtima wangu unazimia ndani yangu. 28 Kama mkisema, Jinsi tutakavyomwudhi! Kwa kuwa shina la jambo hili limeonekana kwake; 29 Uogopeni upanga; Kwa maana adhabu za upanga zina ghadhabu, Mpate kujua ya kwamba hukumu iko.
Zaburi 49:15X
15 Bali Mungu atanikomboa nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa kuzimu, maana atanikaribisha.
Zaburi 73:24X
24 Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.
Isaya 26:19X
19 Wafu wako wataishi, maiti zangu zitafufuka; amkeni, kaimbeni, ninyi mnaokaa mavumbini, kwa maana umande wako ni kama umande wa mimea, nayo ardhi itawatoa waliokufa.
1 Wakorintho 15X
1 Basi, ndugu zangu, nawaarifu ile injili niliyowahubiri; ambayo ndiyo mliyoipokea, na katika hiyo mnasimama, 2 na kwa hiyo mnaokolewa; ikiwa mnayashika sana maneno niliyowahubiri isipokuwa mliamini bure. 3 Kwa maana naliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo maandiko; 4 na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo maandiko; 5 na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Thenashara; 6 baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala; 7 baadaye akamtokea Yakobo; tena na mitume wote; 8 na mwisho wa watu wote, alinitokea mimi, kama ni mtu aliyezaliwa si kwa wakati wake. 9 Maana mimi ni mdogo katika mitume, nisiyestahili kuitwa mitume, kwa sababu naliliudhi Kanisa la Mungu. 10 Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si bure, bali nalizidi sana kufanya kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali ni neema ya Mungu pamoja nami. 11 Basi, kama ni mimi, kama ni wale, ndivyo tuhubirivyo, na ndivyo mlivyoamini. 12 Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu? 13 Lakini kama hakuna kiyama ya wafu, Kristo naye hakufufuka; 14 tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure. 15 Naam, na sisi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo wa Mungu; kwa maana tulimshuhudia Mungu ya kuwa alimfufua Kristo, ambaye hakumfufua, ikiwa wafu hawafufuliwi. 16 Maana kama wafu hawafufuliwi, Kristo naye hakufufuka. 17 Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu. 18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea. 19 Kama katika maisha haya tu tumemtumaini Kristo, sisi tu maskini kuliko watu wote. 20 Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala. 21 Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu. 22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa. 23 Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko ni Kristo; baadaye walio wake Kristo, atakapokuja. 24 Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu. 25 Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini ya miguu yake. 26 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti. 27 Kwa kuwa, Alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake. Lakini atakaposema, Vyote vimetiishwa, ni dhahiri ya kuwa yeye aliyemtiishia vitu vyote hayumo. 28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote. 29 Au je! Wenye kubatizwa kwa ajili ya wafu watafanyaje? Kama wafu hawafufuliwi kamwe, kwa nini kubatizwa kwa ajili yao? 30 Na sisi, kwa nini tumo hatarini kila saa? 31 Naam, ndugu, kwa huku kujisifu kwangu niliko nako juu yenu katika Kristo Yesu Bwana wetu, ninakufa kila siku. 32 Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nalipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa. 33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema. 34 Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe. 35 Lakini labda mtu atasema, Wafufuliwaje wafu? Nao huja kwa mwili gani? 36 Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa; 37 nayo uipandayo, huupandi mwili ule utakaokuwa, ila chembe tupu, ikiwa ni ya ngano au nyingineyo; 38 lakini Mungu huipa mwili kama apendavyo, na kila mbegu mwili wake. 39 Nyama yote si nyama moja; ila nyingine ni ya wanadamu, nyingine ya hayawani, nyingine ya ndege, nyingine ya samaki. 40 Tena kuna miili ya mbinguni, na miili ya duniani; lakini fahari yake ile ya mbinguni ni mbali, na fahari yake ile ya duniani ni mbali. 41 Kuna fahari moja ya jua, na fahari nyingine ya mwezi, na fahari nyingine ya nyota; maana iko tofauti ya fahari hata kati ya nyota na nyota. 42 Kadhalika na kiyama ya watu. Hupandwa katika uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika; 43 hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika fahari; hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu; 44 hupandwa mwili wa asili; hufufuliwa mwili wa roho. Ikiwa uko mwili wa asili, na wa roho pia uko. 45 Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha. 46 Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho. 47 Mtu wa kwanza atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili atoka mbinguni. 48 Kama alivyo yeye wa udongo, ndivyo walivyo walio wa udongo; na kama alivyo yeye wa mbinguni, ndivyo walivyo walio wa mbinguni. 49 Na kama tulivyoichukua sura yake yule wa udongo, kadhalika tutaichukua sura yake yeye aliye wa mbinguni. 50 Ndugu zangu, nisemayo ni haya, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharibika. 51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. 54 Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda. 55 Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, Ewe mauti, uchungu wako? 56 Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati. 57 Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo. 58 Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mwajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.
Yohana 5:28, 29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. 29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
1 Wakorintho 15:17X
17 Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu.
1 Wakorintho 15:12X
12 Basi, ikiwa Kristo anahubiriwa ya kwamba amefufuka katika wafu, mbona baadhi yenu husema kwamba hakuna kiyama ya wafu?
1 Wakorintho 15:17, 18X
17 Na kama Kristo hakufufuka, imani yenu ni bure; mngalimo katika dhambi zenu. 18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.
Luka 24:13-27X
13 Na tazama, siku ile ile watu wawili miongoni mwao walikuwa wakienda kijiji kimoja, jina lake Emau, kilichokuwa mbali na Yerusalemu kama mwendo wa saa mbili. 14 Nao walikuwa wakizungumza wao kwa wao habari za mambo hayo yote yaliyotukia. 15 Ikawa katika kuzungumza na kuulizana kwao, Yesu mwenyewe alikaribia, akaandamana nao. 16 Macho yao yakafumbwa wasimtambue. 17 Akawaambia, Ni maneno gani haya mnayosemezana hivi mnapotembea? Wakasimama wamekunja nyuso zao. 18 Akajibu mmoja wao, jina lake Kleopa, akamwambia, Je! Wewe peke yako u mgeni katika Yerusalemu, hata huyajui yaliyotukia humo siku hizi? 19 Akawauliza, Mambo gani? Wakamwambia, Mambo ya Yesu wa Nazareti, aliyekuwa mtu nabii, mwenye uwezo katika kutenda na kunena mbele za Mungu na watu wote; 20 tena jinsi wakuu wa makuhani na wakubwa wetu walivyomtia katika hukumu ya kufa, wakamsulibisha. 21 Nasi tulikuwa tukitumaini ya kuwa yeye ndiye atakayewakomboa Israeli. Zaidi ya hayo yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipotendeka mambo hayo; 22 tena, wanawake kadha wa kadha wa kwetu walitushitusha, waliokwenda kaburini asubuhi na mapema, 23 wasiuone mwili wake; wakaja wakasema ya kwamba wametokewa na malaika waliosema kwamba yu hai. 24 Na wengine waliokuwa pamoja nasi walikwenda kaburini wakaona vivyo hivyo kama wale wanawake walivyosema, ila yeye hawakumwona. 25 Akawaambia, Enyi msiofahamu, wenye mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii! 26 Je! Haikumpasa Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake? 27 Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.
Yohana 20:14-18X
14 Nayo ilikuwa Maandalio ya pasaka, yapata saa sita. Akawaambia Wayahudi, Tazama, Mfalme wenu! 15 Basi wale wakapiga kelele, Mwondoshe! Mwondoshe! Msulibishe! Pilato akawaambia, Je! Nimsulibishe mfalme wenu! Wakuu wa makuhani wakamjibu, Sisi hatuna mfalme ila Kaisari. 16 Basi ndipo alipomtia mikononi mwao ili asulibiwe; nao wakampokea Yesu. 17 Akatoka, hali akijichukulia msalaba wake, mpaka mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, au kwa Kiebrania, Golgotha. 18 Wakamsulibisha huko, na wengine wawili pamoja naye, mmoja huku na mmoja huku, na Yesu katikati.
Luka 24:39X
39 Tazameni mikono yangu na miguu yangu, ya kuwa ni mimi mwenyewe. Nishikenishikeni, mwone; kwa kuwa roho haina mwili na mifupa kama mnavyoniona mimi kuwa nayo.
Luka 24:43X
43 Akakitwaa, akala mbele yao.
Wafilipi 3:10,11X
10 ili nimjue yeye, na uweza wa kufufuka kwake, na ushirika wa mateso yake, nikifananishwa na kufa kwake; 11 ili nipate kwa njia yo yote kuifikia kiyama ya wafu.
Matendo 4:33X
33 Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa nguvu nyingi, na neema nyingi ikawa juu yao wote.
Matendo 17:6X
6 na walipowakosa, wakamkokota Yasoni na baadhi ya ndugu mbele ya wakubwa wa mji, wakipiga kelele, wakisema, Watu hawa walioupindua ulimwengu wamefika huku nako,
Wafilipi 3:10, 11X
10 ili nimjue yeye, na uweza wa kufufuka kwake, na ushirika wa mateso yake, nikifananishwa na kufa kwake; 11 ili nipate kwa njia yo yote kuifikia kiyama ya wafu.
1 Petro 1:3X
3 Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa rehema zake nyingi alituzaa mara ya pili ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwake Yesu Kristo katika wafu;
Matendo 1:22X
22 kuanza tangu ubatizo wa Yohana, hata siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, inapasa mmoja wao awe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.
Matendo 2:31X
31 yeye mwenyewe akitangulia kuyaona haya, alitaja habari za kufufuka kwake Kristo, ya kwamba roho yake haikuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuona uharibifu.
Matendo 4:33X
33 Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa nguvu nyingi, na neema nyingi ikawa juu yao wote.
Matendo 4:2X
2 wakifadhaika sana kwa sababu wanawafundisha watu na kuhubiri katika Yesu ufufuo wa wafu.
Matendo 23:6X
6 Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.
Matendo 24:21X
21 isipokuwa kwa ajili ya sauti hii moja, nilipolia nikisimama katikati yao, na kusema, Kwa ajili ya ufufuo wa wafu ninahukumiwa mbele yenu hivi leo.
Warumi 1:4X
4 na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu;
Warumi 6:4, 5X
4 Basi tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima. 5 Kwa maana kama mlivyounganika naye katika mfano wa mauti yake, kadhalika mtaunganika kwa mfano wa kufufuka kwake;
Yohana 5:28, 29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. 29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Matendo 24:15X
15 Nina tumaini kwa Mungu, ambalo hata hao nao wanalitazamia, ya kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, wenye haki na wasio haki pia.
Ufunuo 20:4, 5X
4 Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu. 5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu.
Ufunuo 20:6X
6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
Ufunuo 20:14X
14 Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.
Yohana 5:29X
29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
1 Wakorintho 15:52,53X
52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.
1 Wakorintho 15:22,23X
22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa. 23 Lakini kila mmoja mahali pake; limbuko ni Kristo; baadaye walio wake Kristo, atakapokuja.
1 Wathesalonike 4:15-18X
15 Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. 16 Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. 18 Basi, farijianeni kwa maneno hayo.
Luka 20:36X
36 wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
Wafilipi 3:21X
21 atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.
1 Wakorintho 15:42-54X
42 Kadhalika na kiyama ya watu. Hupandwa katika uharibifu; hufufuliwa katika kutokuharibika; 43 hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika fahari; hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu; 44 hupandwa mwili wa asili; hufufuliwa mwili wa roho. Ikiwa uko mwili wa asili, na wa roho pia uko. 45 Ndivyo ilivyoandikwa, Mtu wa kwanza, Adamu, akawa nafsi iliyo hai; Adamu wa mwisho ni roho yenye kuhuisha. 46 Lakini hautangulii ule wa roho, bali ule wa asili; baadaye huja ule wa roho. 47 Mtu wa kwanza atoka katika nchi, ni wa udongo. Mtu wa pili atoka mbinguni. 48 Kama alivyo yeye wa udongo, ndivyo walivyo walio wa udongo; na kama alivyo yeye wa mbinguni, ndivyo walivyo walio wa mbinguni. 49 Na kama tulivyoichukua sura yake yule wa udongo, kadhalika tutaichukua sura yake yeye aliye wa mbinguni. 50 Ndugu zangu, nisemayo ni haya, ya kuwa nyama na damu haziwezi kuurithi ufalme wa Mungu; wala uharibifu kurithi kutokuharibika. 51 Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, 52 kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. 53 Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa. 54 Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda.
Yohana 5:29X
29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Ufunuo 20:14, 15X
14 Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. 15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.
Ezekieli 18:30-32X
30 Basi, nitawahukumu ninyi, nyumba ya Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya njia zake, asema Bwana MUNGU. Rudini, mkaghairi, na kuyaacha makosa yenu yote; basi hivyo uovu wenu hautakuwa uharibifu wenu. 30 Basi, nitawahukumu ninyi, nyumba ya Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya njia zake, asema Bwana MUNGU. Rudini, mkaghairi, na kuyaacha makosa yenu yote; basi hivyo uovu wenu hautakuwa uharibifu wenu. 31 Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya; mbona mnataka kufa, enyi nyumba ya Israeli? 32 Maana mimi sikufurahii kufa kwake afaye, asema Bwana MUNGU; basi ghairini, mkaishi.
Ufunuo 2:11X
11 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.
Mwanzo 35:18X
18 Ikawa hapo katika kutoa roho yake, maana alikufa, akamwita jina lake Benoni, lakini babaye alimwita Benyamini.
1 Wafalme 17:21,22X
20 Akamwomba Bwana, akanena, Ee Bwana, Mungu wangu, je! Umemtenda mabaya mjane huyu ninayekaa kwake hata kumfisha mwanawe. 21 Akajinyosha juu ya mtoto mara tatu, akamwomba Bwana, akanena, Ee Bwana, Mungu wangu, nakusihi, roho ya mtoto huyu imrudie ndani yake tena.
Mathayo 16:28-17:3X

Mathayo 16:28

28 Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hata watakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalme wake.

Mathayo 17:1-3

1 Na baada ya siku sita Yesu akawatwaa Petro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu ya mlima mrefu faraghani; 2 akageuka sura yake mbele yao; uso wake ukang'aa kama jua, mavazi yake yakawa meupe kama nuru. 3 Na tazama, wakatokewa na Musa na Eliya, wakizungumza naye.
K. Torati 34:5, 6X
5 Basi Musa, mtumishi wa Bwana, akafa huko, katika nchi ya Moabu, kwa neno la Bwana. 6 Akamzika bondeni, katika nchi ya Moabu, kukabili Beth-peori; lakini hapana mtu ajuaye kaburi lake hata leo.
2 Wafalme 2:11X
11 Ikawa, walipokuwa wakiendelea mbele na kuongea, tazama! Kukatokea gari la moto, na farasi wa moto, likawatenga wale wawili; naye Eliya akapanda mbinguni kwa upepo wa kisulisuli.
yuda 1:9X
9 Lakini Mikaeli, malaika mkuu, aliposhindana na Ibilisi, na kuhojiana naye kwa ajili ya mwili wa Musa, hakuthubutu kumshitaki kwa kumlaumu, bali alisema, Bwana na akukemee.
Wafilipi 1:21, 23X
21 Kwa maana kwangu mimi kuishi ni Kristo, na kufa ni faida. 23 Ninasongwa katikati ya mambo mawili; ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo maana ni vizuri zaidi sana;
1 Wathesalonike 4:16X
16 Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.
1 Wathesalonike 5:23X
23 Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa; nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili, bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
1 Petro 3:18-20X
18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa, 19 ambayo kwa hiyo aliwaendea roho waliokaa kifungoni, akawahubiri; 20 watu wasiotii hapo zamani, uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja, siku za Nuhu, safina ilipokuwa ikitengenezwa; ambamo ndani yake wachache, yaani, watu wanane, waliokoka kwa maji.
Mathayo 11:23X
23 Nawe Kapernaumu, je! Utakuzwa mpaka mbinguni? Utashushwa mpaka kuzimu; kwa kuwa kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika katika Sodoma, ungalikuwapo mji huo hata leo.
Waebrania 11:4X
4 Kwa imani Habili alimtolea Mungu dhabihu iliyo bora kuliko Kaini; kwa hiyo alishuhudiwa kuwa ana haki; Mungu akazishuhudia sadaka zake, na kwa hiyo, ijapokuwa amekufa, angali akinena.
Ufunuo 6:9 – 11X
Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la Mungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao. 10 Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? 11 Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao
2 Petro 1:20X
20 Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu.
Luka 23:43X
43 Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Matendo 1:9-11X
9 Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi. 10 Basi palikuwapo Dameski mwanafunzi jina lake Anania. Bwana akamwambia katika maono, Anania. Akasema, Mimi hapa, Bwana. 11 Bwana akamwambia, Simama, enenda zako katika njia iitwayo Nyofu, ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu aitwaye Sauli, wa Tarso; maana, angalia, anaomba;
Luka 16:19 – 31X
19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, 21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake. 22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. 23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. 24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. 25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. 26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu. 27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu, 28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso. 29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao. 30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu. 31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Waamuzi 9:7-15X
7 Kisha walipomwambia huyo Yothamu, yeye akaenda, akasimama juu ya kilele cha kilima cha Gerizimu, akapaza sauti yake, akapiga kelele, na kuwaambia, Nisikieni mimi, enyi watu wa Shekemu, ili kwamba Mungu naye apate kuwasikia ninyi. 8 Siku moja miti ilitoka ili kuutia mmoja mafuta uwe mfalme juu yao; ikauambia mti mzeituni, Tawala wewe juu yetu. 9 Lakini huo mzeituni ukaiambia, Je! Niache mafuta yangu, ambayo kwangu mimi watu wamheshimu Mungu na wanadamu, ili niende nikayonge-yonge juu ya miti? 10 Kisha miti ikauambia mtini, Njoo wewe, utawale juu yetu. 11 Lakini huo mtini ukaiambia, Je! Niuache utamu wangu, na matunda yangu mazuri, niende nikayonge-yonge juu ya miti? 12 Kisha miti ikauambia mzabibu, Njoo wewe, utawale juu yetu. 13 Huo mzabibu nao ukaiambia, Je! Niiache divai yangu, ambayo humfurahisha Mungu na wanadamu, ili niende nikayonge-yonge juu ya miti? 14 Ndipo hiyo miti yote ikauambia mti wa miiba, Njoo wewe, utawale juu yetu. 15 Huo mti wa miiba ukaiambia miti, Kwamba ninyi mwanitia mafuta niwe mfalme juu yenu kwelikweli, basi njoni mtumaini kivuli changu; na kwamba sivyo, na utoke moto katika mti wa miiba na kuiteketeza mierezi ya Lebanoni.
2 Wafalme 14:9X
9 Naye Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, Mbaruti uliokuwako Lebanoni ulituma kwa mwerezi uliokuwako Lebanoni, kusema, Umwoze mwanangu binti yako; kukapita hayawani aliyekuwako Lebanoni, akaukanyaga ule mbaruti.
Luka 15:2X
2 Mafarisayo na waandishi wakanung'unika, wakisema, Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.
Luka 15: 7, 10X
7 Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu. 10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Luka 16: 1-13X
1 Tena, aliwaambia wanafunzi wake, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyekuwa na wakili wake; huyu alishitakiwa kwake kuwa anatapanya mali zake. 2 Akamwita, akamwambia, Ni habari gani hii ninayosikia juu yako? Toa hesabu ya uwakili wako, kwa kuwa huwezi kuwa wakili tena. 3 Yule wakili akasema moyoni mwake, Nifanyeje? Maana, bwana wangu ananiondolea uwakili. Kulima, siwezi; kuomba, naona haya. 4 Najua nitakalotenda, ili nitakapotolewa katika uwakili, wanikaribishe nyumbani mwao. 5 Akawaita wadeni wa bwana wake, kila mmoja; akamwambia wa kwanza, Wawiwani na bwana wangu? 6 Akasema, Vipimo mia vya mafuta. Akamwambia, Twaa hati yako, keti upesi, andika hamsini. 7 Kisha akamwambia mwingine, Na wewe wawiwani? Akasema, Makanda mia ya ngano. Akamwambia, Twaa hati yako, andika themanini. 8 Yule bwana akamsifu wakili dhalimu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru. 9 Nami nawaambia, Jifanyieni rafiki kwa mali ya udhalimu, ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. 10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana, huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia; na aliye dhalimu katika lililo dogo, huwa dhalimu katika lililo kubwa pia. 11 Basi, kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli? 12 Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? 13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana, ama atamchukia huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
Marko 12:37X
37 Daudi mwenyewe asema ni Bwana; basi amekuwaje mwanawe? Na mkutano mkubwa walikuwa wakimsikiliza kwa furaha.
Luka 15:2X
2 Mafarisayo na waandishi wakanung'unika, wakisema, Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.
Mathayo 23:13X
13 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni; ninyi wenyewe hamwingii, wala wanaoingia hamwaachi waingie.
Luka 16:14 -18X
Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki. 15 Akawaambia, Ninyi ndinyi mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu awajua mioyo yenu; kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu. 16 Torati na manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu. 17 Lakini ni vyepesi zaidi mbingu na nchi vitoweke, kuliko itanguke nukta moja ya torati. 18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini; naye amwoaye yeye aliyeachwa na mumewe azini
Mathayo 16:27X
27 Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Luka 16:26-31X
Warumi 2:6X
6 atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake;
Waebrania 9:27X
27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Ufunuo 22:12X
12 Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
Luka 23:43X
43 Malaika kutoka mbinguni akamtokea akamtia nguvu.
Mathayo 26:29X
29 Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
Mathayo 6:20X
20 bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi;
Yohana 14:2, 3X
2 Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali. 3 Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Mathayo 10:28X
28 Msiwaogope wauuao mwili, wasiweze kuiua na roho; afadhali mwogopeni yule awezaye kuangamiza mwili na roho pia katika jehanum.
Mathayo 5:22X
22 Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto.
Yohana 5:29X
29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Mathayo 23:33X
33 Enyi nyoka, wana wa majoka, mtaikimbiaje hukumu ya jehanum?
Marko 3:29X
29 bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,
Yohana 5:28, 29X
28 Msistaajabie maneno hayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake. 29 Nao watatoka; wale waliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu.
Ufunuo 22: 12X
12 Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.
1 Wathesalonike 4:13-17X
13 Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini. 14 Maana, ikiwa twaamini ya kwamba Yesu alikufa akafufuka, vivyo hivyo na hao waliolala katika Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye. 15 Kwa kuwa twawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti. 16 Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.
Mhubiri 12:7X
7 Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.