Christian Behavior

Introducton

We are called to be a godly people who think, feel, and act in harmony with the principles of heaven. For the Spirit to recreate in us the character of our Lord we involve ourselves only in those things which will produce Christlike purity, health, and joy in our lives. This means that our amusement and entertainment should meet the highest standards of Christian taste and beauty. While recognizing cultural differences, our dress is to be simple, modest, and neat, befitting those whose true beauty does not consist of outward adornment but in the imperishable ornament of a gentle and quiet spirit. It also means that because our bodies are the temples of the Holy Spirit, we are to care for them intelligently. Along with adequate exercise and rest, we are to adopt the most healthful diet possible and abstain from the unclean foods identified in the Scriptures. Since alcoholic beverages, tobacco, and the irresponsible use of drugs and narcotics are harmful to our bodies, we are to abstain from them as well. Instead, we are to engage in whatever brings our thoughts and bodies into the discipline of Christ, who desires our wholesomeness, joy, and goodness. (Rom. 12:1, 2; 1 John 2:6; Eph. 5:1-21; Phil. 4:8; 2 Cor. 10:5; 6:14-7:1; 1 Peter 3:1-4; 1 Cor. 6:19, 20; 10:31; Lev. 11:1-47; 3 John 2.)

Christian behavior—the lifestyle of a follower of God—arises as a grateful response to God's magnificent salvation through Christ. Paul appeals to all Christians: "I beseech you therefore, brethren, by the mercies of God, that you present your bodies a living sacrifice, holy, acceptable to God, which is your reasonable service. And do not be conformed to this world, but be transformed by the renewing of your mind, that you may prove which is that good and acceptable and perfect will of God" (Rom. 12:1, 2). So Christians willingly protect and develop their mental, physical and spiritual faculties in order that they may honor their Creator and Redeemer.

Christ prayed, "'I do not pray that You should take them out of the world, but that You should keep them from the evil one. They are not of the world, just as I am not of the world'" (John 17:15, 16). How can a Christian be both in the world and separate from it? How should the Christian lifestyle differ from that of the world?

Christians should adopt a different lifestyle, not for the sake of being different but because God has called them to live by principle. The lifestyle to which He has called them enables them to reach their full potential as His creation, making them efficient in His service. Being different also advances their mission: to serve the world—to be salt in it, light to it. Of what value would salt be without taste, or light that didn't differ from darkness?

Christ is our example. He lived so thoroughly in the world that people accused Him of being "'a glutton and a drunkard'" (Matt. 11:19, NIV), though He was not. He so consistently lived out God's principles that no one could prove Him guilty of sin (John 8:46, NIV).

Behavior and Salvation

In determining what is appropriate behavior, we should avoid two extremes.

The first is accepting the rules and applications of principles to become as a means of salvation. Paul sums up this extreme with the words, "You who are trying to be justified by law have been alienated from Christ; you have fallen away from grace" (Gal. 5:4, NIV).

The opposite extreme is believing that since works do not save, they are therefore unimportant—that what a person does really doesn't matter. Paul spoke to this extreme too: "You, my brothers, were called to be free. But do not use your freedom to indulge the sinful nature" (Gal. 5:13, NIV). When each member follows his or her own conscience, "there is no mutual discipling of fellow Christians in keeping with Matthew 18 and Galatians 6:1, 2. The church becomes not the body of Christ, within which there is mutual love and care, but a collection of atomistic individuals, each of whom goes his or her own way without taking any responsibility for one's fellows or accepting any concern for them."

While our behavior and our spirituality are closely related, we can never earn salvation by correct behavior. Rather, Christian behavior is a natural fruit of salvation and is grounded in what Christ has already accomplished for us at Calvary.

Temples of the Holy Spirit

Not only the church but the individual Christian is a temple for the indwelling of the Holy Spirit: "Do you not know that your body is the temple of the Holy Spirit who is in you, whom you have from God, and you are not your own?" (1 Cor. 6:19).

Christians, then, practice good health habits to protect the command center of their body temples, the mind, the dwelling place of the Spirit of Christ. For this reason Seventh-day Adventists—throughout the past 100 years—have stressed the importance of proper health habits.And this emphasis has been paying off: Recent research reveals that Adventists are less likely than the general population to develop almost any of the major diseases.

As Christians, we are concerned with both the spiritual and the physical aspects of people's lives. Jesus, our pattern, healed "every disease and sickness among the people" (Matt. 4:23, NIV).

The Bible views human beings as a unit (chapter 7). "The dichotomy between spiritual and material is foreign to the Bible."So God's call to holiness involves a call to physical as well as spiritual health. Susannah Wesley, mother of the founder of Methodism, aptly summarized this principle: "Whatever weakens your reason, impairs the tenderness of your conscience, obscures your sense of God, decreases the strength and authority of your mind over your body—that thing is wrong, however innocent it may be in itself."

God's laws, which include the laws of health, are not arbitrary but are designed by our Creator to enable us to enjoy life at its best. Satan, the enemy, wants to stealour health, our joy, our peace of mind, and ultimately to destroy us (see John 10:10).

God's Blessings for Total Health

Attaining this health depends upon practicing a few rather simple but effective God-given principles. Some of these are obvious and quite agreeable to most people. Others, such as proper diet, are more difficult to accept since they involve orientations and habits so basic to our lifestyles. For this reason, we will devote more space to those principles that are either misunderstood, debated, or rejected.

A) The Blessing of Exercise

Regular exercise is the simple formula for increased energy, a firm body, stress relief, healthier skin, more self-confidence, effective weight control, improved digestion and regularity, and reduced depression and the risk of heart disease and cancer. Exercise is not merely an option, it is essential to maintaining optimal health—both physical and mental.

Useful activity tends to prosperity; inactivity and laziness tend to adversity (Prov. 6:6-13; 14:23). God prescribed activity for the first man and woman—care for their garden home in the open air (Gen. 2:5, 15; 3:19). Christ Himself set an example of physical activity. For most of His life He was engaged in manual labor as a carpenter, and during His ministry He walked the roads of Palestine. 

B) The Blessing of Sunlight

Light is essential to life (Gen. 1:3). It powers the process that produces the nutrients that nourish and energize our bodies and that releases the oxygen we must have to live. Sunshine promotes health and healing.

C) The Blessing of Water

The human body is 75 percent water, but this vital fluid is continuously being lost through exhaled air, perspiration, and waste products. Drinking six to eight glasses of pure water a day would aid in maintaining efficient, happy well-being. Another important function of water is its use for cleanliness and the relaxation it affords.

D) The Blessing of Fresh Air

An environment of impure air, in or outside of the home, causes the blood to carry less oxygen than is required for the optimal function of every cell. This tends to make a person less alert and responsive. It is therefore important to do everything possible to secure a generous supply of fresh air daily.

E) The Blessing of Temperate, Drug-Free, Stimulant-Free Living

Drugs have saturated our society because they offer stimulation and release from stress and pain. The Christian is surrounded with seductive invitations to use drugs. Even many innocent-appearing, popular beverages contain drugs: Coffee, tea, and colas contain caffeine, and fruit-flavored wine coolers contain alcohol. Research has shown that the milder gateway drugs tend to lead progressively to strongermind-altering drugs. The wise Christian will abstain from all that is harmful, using in moderation only that which is good.

1. Tobacco

In any form tobacco is a slow poison that has a harmful effect on the physical, mental, and moral powers. At first its effects are hardly noticeable. It excites and then paralyzes the nerves, weakening and clouding the brain. Those who use tobacco are slowly committing suicide, transgressing the sixth commandment: "Thou shalt not kill" (Ex. 20:13, KJV).

2. Alcoholic beverages

Alcohol is one of the most widely used drugs on Planet Earth. It has devastated untold millions. Not only does it hurt those who use it, but it exacts its toll from society in general—through broken homes, accidental deaths, and poverty.

Since God communicates with us only through our minds, it is well to remember that alcohol adversely affects their every function. As the level of alcohol in the system rises, the drinker progresses through loss of coordination, confusion, disorientation, stupor, anesthesia, coma, and death. Drinking alcoholic beverages on a regular basis will eventually produce loss of memory, judgment, and learning ability.

Scriptural stories involving the use of alcoholic beverages may give the impression that God approved their use. However, Scripture also indicates that God's people participated in such social practices as divorce, polygamy, and slavery—practices that God certainly did not condone. In interpreting such Scriptural passages, it is helpful to keep in mind that God does not necessarily endorse all that He permits.

Jesus' answer to the query as to why Moses permitted divorce points to this principle of interpretation. He said, "'Moses, because of the hardness of your hearts, permitted you to divorce your wives, but from the beginning it was not so'" (Matt. 19:8). Eden is the divine model to which the gospel would restore us. As is true of these other practices, the use of alcohol was not a part of God's original plan.

3. Other drugs and narcotics

There are many other harmful drugs and narcotics through which Satan destroys human lives.True Christians beholding Christ will continually glorify God with their bodies, realizing that they are His prized possessions, bought with His precious blood.

F) The Blessing of Rest

Proper rest is essential for health of body and mind. Christ extends to us the compassionate directive He gave His weary disciples: "'Come with me by yourselves to a quiet place and get some rest'" (Mark 6:31, NIV). Periods of rest provide much needed quietness for communion with God: "Be still, and know that I am God" (Ps. 46:10). God stressed our need for rest by setting aside the seventh day of the week as the day of rest (Ex. 20:10).

Rest is more than sleeping or ceasing our regular work. It involves the way we spend our leisure time. Weariness is notalways caused by stress or by working too hard or too long: Our minds can be wearied by overstimulation through the media, sickness, or various personal problems.

Recreation is re-creation in the truest sense of the word. It strengthens, builds up, and refreshes the mind and body, thus preparing believers to go back to their vocations with new vigor. To live life at its best, Christians should pursue only those forms of recreation and entertainment that strengthen their bond with Christ and improve health.

Scripture lays down the following principle, which will help Christians select good recreation: "Do not love the world or the things in the world. If anyone loves the world, the love of the Father is not in him. For all that is in the world—the lust of the flesh, the lust of the eyes, and the pride of life—is not of the Father but is of the world" (1 John 2:15, 16).

1. Movies, television, radio, and videos

These media can be great educational agencies. They have "changed the whole atmosphere of our modern world and have brought us within easy contact with the life, thought, and activities of the entire globe."The Christian will remember that television and videos make a greater impact on the life of an individual than does any other single activity.

Unfortunately, video and television, with its almost continuous theatrical performances, bring influences into the home that are neither wholesome nor uplifting. If we are not discriminating and decisive, "they will turn our homes into theaters and minstrel shows of a cheap and sordid kind."The committed Christian will turn away from unwholesome, violent, sensual movies and television programs.

Visual and audio media are not evil in themselves. The same channels that portray the depths of human wickedness convey the preaching of the gospel of salvation. And many other worthwhile programs are broadcast. But people can use even the good programs to avoid the responsibilities of life. Christians will not only desire to establish principles for determining what to watch but will also set time limits on their watching, so that social relationships and the responsibilities of life will not suffer. If we cannot discriminate or if we lack the power to control our media, it is much better to dispense with them altogether than to have them rule our lives either by polluting the mind or consuming excessive amounts of time (see Matt. 5:29, 30).

Regarding our contemplation of Christ, an important Biblical principle states that "by beholding we are becoming transformed into His likeness with ever-increasing glory" (2 Cor. 3:18, NIV). Beholding brings change. But Christians must continually remember that this principle works on the negative side, too. Films graphically portraying the sins and crimes of humanity—murder, adultery, robbery, and other degrading acts—are contributing to the present breakdown of morality.

Paul's advice in Philippians 4:8 lays out a principle that helps to identify the forms of recreation that have value: "Finally, brethren, whatever things are true, whatever things are noble, whatever things are just, whatever things are pure, whatever things are lovely, whatever things are of good report, if there is any virtue and if there is anything praiseworthy—meditate on these things."

2. Reading and music

These same high standards apply to the Christian's reading and music. Music is a gift of God to inspire pure, noble, and elevated thoughts. Good music, then, enhances the finest qualities of character.

Debased music, on the other hand, "destroys the rhythm of the soul and breaks down morality." So Christ's followers will shun "any melody partaking of the nature of jazz, rock, or related hybrid forms, or any language expressing foolish or trivial sentiments." The Christian does not listen to music with suggestive lyrics or melodies (Rom. 13:11-14; 1 Peter 2:11).

Reading offers much that is valuable too. There is a wealth of good literature that cultivates and expands the mind. Yet there is also a "flood of evil literature, often in most attractive guise but damaging to mind and morals. The tales of wild adventure and of moral laxness, whether fact or fiction," are unfit for believers because they create a distaste for a noble, honest, and pure lifestyle and hinder the development of a union with Christ.

3. Unacceptable activities

Adventists also teach that gambling, card playing, theater going, and dancing are to be avoided (1 John 2:15-17). They question spending time watching violent sporting events (Phil. 4:8). Any activity that weakens our relationship with our Lord and causes us to lose sight of eternal interests helps to bind Satan's chains about our souls. Christians will rather participate in those wholesome forms of leisure activities that will truly refresh their physical, mental, and spiritual natures.

G) The Blessing of Nutritious Food

To the first couple, the Creator gave the ideal diet: "'I give you every seed-bearing plant on the face of the whole earth and every tree that has fruit with seed in it. They will be yours for food'" (Gen. 1:29, NIV). After the Fall, God added to their diet "'the plants of the fields'" (Gen. 3:18, NIV).

Today's health problems tend to center on the degenerative type of diseases that are directly traceable to diet and lifestyle. The diet God planned, consisting of grains, fruits, nuts, and vegetables, offers the right nutritional ingredients to support optimum health.

1. The original diet

The Bible does not condemn the eating of clean animals. But God's original diet for man did not include flesh foods because He did not envision the taking of any animal's life and because a balanced vegetarian diet is the best for health—a fact for which science offers mounting evidence. People consuming animal products that contain bacteria or viruses that cause disease may have theirhealth impaired.It is estimated that every year, in the United States alone, millions suffer from poultry food poisoning because inspection fails to detect contamination by salmonella and other microorganisms. Several experts feel that "bacterial contamination poses a far greater risk than chemical additives and preservatives in food" and expect the incidence of the diseases caused by these bacteria to rise.

Furthermore, studies conducted in recent years indicate that increased meat consumption can cause an increase of atherosclerosis, cancer, kidney disorders, osteoporosis, and trichinosis, and can decrease the life expectancy.

The diet God ordained in the Garden of Eden—the vegetarian diet—is the ideal, but sometimes we cannot have the ideal. In those circumstances, in any given situation or locale, those who wish to stay in optimum health will eat the best food that they can obtain.

2. Clean and unclean flesh foods

Only after the Flood did God introduce flesh as food. With all vegetation destroyed, God gave Noah and his family permission to eat flesh foods, stipulating that they were not to eat the blood in the meat (Gen. 9:3-5).

Another stipulation Scripture implies that God gave Noah was that he and his family were to eat only what God identified as clean animals. It was because Noah and his family needed the clean animals for food as well as for sacrifices (Gen. 8:20) that God instructed Noah to take seven pairs of each kind of clean animal, in contrast to only one pair of each kind of unclean, with him into the ark (Gen. 7:2, 3). Leviticus 11 and Deuteronomy 14 provide extensive expositions on clean and unclean foods.

By nature, unclean animals do not constitute the best food. Many are either scavengers or predators—from the lion and swine to the vulture and the bottom-dwelling, sucker-type fish. Because of their habits they are more apt to be carriers of disease.

Studies have revealed that "in addition to the moderate amounts of cholesterol found in both pork and shellfish, both foods contain a number of toxins and contaminants which are associated with human poisoning."

By abstaining from unclean foods, God's people demonstrated their gratefulness for their redemption from the corrupt, unclean world around them (Lev. 20:24-26; Deut. 14:2). To introduce anything unclean into the body temple where God's Spirit dwells is less than God's ideal.

The New Testament did not abolish the distinction between the clean and unclean flesh foods. Some believe that because these dietary laws are mentioned in Leviticus, they are merely ceremonial or ritualistic, and so are no longer valid for Christians. Yet the distinction between clean and unclean animals dates back to Noah's day—long before Israel existed. As principles of health, these dietary laws carry with them an ongoing obligation.

3. Regularity, simplicity, and balance

Successful dietary reforms are progressive and must be approached intelligently. Eventually we should learn to eliminate, or use only sparingly, foods with high fat and/or sugar content.

Furthermore, we should prepare the foods we eat in as simple and natural a way as possible, and for optimum benefit, should eat at regular intervals. Complex, stimulating diets are not the most healthful. Many condiments and spices irritate the digestive tract,  and their habitual use is associated with a number of health problems.

I) The Blessing of Christian Dress

God provided the first clothing for Adam and Eve and knows that we have need of suitable clothing today (Matt. 6:25-33). We should base our choice of clothing on the principles of simplicity, modesty, practicality, health, and attractiveness.

1. Simple

As it does in all other areas of our lives, the Christian call to simplicity impinges upon how we dress. "Christian witness calls for simplicity.

"The way we dress demonstrates to the world who we are and what we are—not as a legal requirement handed down from the Victorian era, but as an expression of our love for Jesus."

2. Of high moral virtue

hristians will not mar the beauty of their characters with styles that arouse the "lust of the flesh" (1 John 2:16). Because they want to witness to others, they will dress and act modestly, not accentuating the parts of the body that stimulate sexual desires. Modesty promotes moral health. The Christian's aim is to glorify God, not self.

3. Practical and economical

Because they are stewards of the money God has entrusted to them, Christians will practice economy, avoiding "gold or pearls or costly clothing" (1 Tim. 2:9). Practicing economy, however, does not necessarily mean purchasing the cheapest clothing available. Often higher quality items are more economical in the long run.

4. Healthful

It is not only diet that affects a person's health. Christians will avoid clothing styles that do not adequately protect the body or that constrict it or otherwise affect it in such ways as to cause the health to deteriorate.

5. Characterized by grace and natural beauty

Christians understand the warning against "the pride of life" (1 John 2:16). Referring to the lilies, Christ said, "'even Solomon in all his glory was not arrayed like one of these'" (Matt. 6:29). Thus He illustrated that Heaven's perception of beauty is characterized by grace, simplicity, purity, and natural beauty. Worldly display, as seen in transient fashions, has no value in God's eyes (1 Tim. 2:9).

Christians win unbelievers not by looking and behaving like the world but by revealing an attractive and refreshing difference. Peter said unbelieving spouses "may be won by the conduct of their wives, when they observe your chaste conduct accompanied by fear." Instead of adorning the exterior, he counseled, letbelievers concentrate on developing "the hidden person of the heart, with the incorruptible ornament of a gentle and quiet spirit, which is very precious in the sight of God" (1 Peter 3:1-4).Scripture teaches that:

a) The character shows forth one's true beauty

Both Peter and Paul set forth the basic principle for guiding Christian men and women in the area of adornment: "Your beauty should not come from outward adornment such as. . . the wearing of gold jewelry and fine clothes" (1 Peter 3:3, NIV). "I also want women to dress modestly with decency and propriety, not with braided hair or gold or pearls or expensive clothes, but with good deeds, appropriate for women who profess to worship God" (1 Tim. 2:9, 10, NIV).

b) Simplicity harmonizes with reformation and revival

When Jacob called his family to dedicate themselves to God they gave up "all the foreign gods which were in their hands, and all their earrings which were in their ears," and Jacob buried them (Gen. 35:2, 4).

After Israel's apostasy with the golden calf, God commanded them, "Take off your ornaments, that I may know what to do to you." In penitence they "stripped themselves of their ornaments" (Ex. 33:5, 6). Paul clearly states that Scripture records this apostasy "as warnings for us, on whom the fulfillment of the ages has come" (1 Cor. 10:11, NIV).

c) Good stewardship requires sacrificial living

While much of the world is undernourished, materialism lays before Christians temptations ranging from expensive clothes, cars, and jewelry to luxurious homes. Simplicity of lifestyle and appearance sets Christians in stark contrast to the greed, materialism, and gaudiness of pagan, twentieth-century society, where values focus on material things rather than on people.

In view of these Scriptural teachings and the principles laid out above, we believe that Christians ought not to adorn themselves with jewelry. We understand this to mean that the wearing of rings, earrings, necklaces, and bracelets, and showy tie tacks, cuff links, and pins—and any other type of jewelry that has as its main function display—is unnecessary and not in harmony with the simplicity of adornment urged by Scripture.

The Bible associates gaudy cosmetics with paganism and apostasy (2 Kings 9:30; Jer. 4:30). As to cosmetics, therefore, we believe that Christians should maintain a natural, healthy appearance. If we lift up the Saviour in the way we speak, act, and dress, we become like magnets, drawing people to Him.

Principles of Christian Standards

In all its manifestations, the Christian lifestyle is a response to salvation through Christ. The Christian desires to honor God and to live as Jesus would live. Although some view the Christian lifestyle as a list of don'ts, we should rather see it as a series of positive principles active inthe framework of salvation. Jesus emphasized that He came that we might have life and have it more abundantly. What are the principles that guide us to the full life? When the Holy Spirit comes into the life of an individual, a decided change take place that is evident to those around that person (John 3:8). The Spirit not only makes an initial change in the life; His effects are ongoing. The fruit of the Spirit is love (Galatians 5:22, 23). The most powerful argument for the validity of Christianity is a loving and lovable Christian.

Living With the Mind of Christ

"Let this mind be in you which was also in Christ Jesus" (Phil. 2:5). Under all circumstances, favorable or adverse, we should seek to understand and live in harmony with the will and mind of Christ (1 Cor. 2:16).

Ellen White has noted the beautiful results of a life that is lived in this kind of a relationship with Christ: "All true obedience comes from the heart. It was heart work with Christ. And if we consent, He will so identify Himself with our thoughts and aims, so blend our hearts and minds into conformity to His will, that when obeying Him we shall be but carrying out our own impulses. The will, refined and sanctified, will find its highest delight in doing His service. When we know God as it is our privilege to know Him, our life will be a life of continual obedience. Through an appreciation of the character of Christ, through communion with God, sin will become hateful to us."

Living to Praise and Glorify God

God has done so much for us. One way in which we can show our gratitude is through the praise that we give Him.

The Psalms strongly emphasize this side of the spiritual life: "I have seen you in the sanctuary and beheld your power and your glory. Because your love is better than life, my lips will glorify you. I will praise you as long as I live, and in your name I will lift up my hands. My soul will be satisfied as with the richest of foods; with singing lips my mouth will praise you" (Ps. 63:2-5, NIV).

For the Christian, such an attitude of praise will keep life's other affairs in an appropriate perspective. In looking upon our crucified Saviour who redeemed us from the penalty and delivers us from the power of sin, we are motivated to do only "those things that are pleasing in His sight" (1 John 3:22; cf. Eph. 5:10, NIV). Christians "live no longer for themselves, but for Him who died for them and rose again" (2 Cor. 5:15). Every true Christian puts God first in all he does, in all he thinks, in all he speaks, and in all that he desires. He has no other gods before His Redeemer (1 Cor. 10:31).

Living to Be an Example

Paul said "give no offense" to anyone (1 Cor. 10:32). "I myself always strive to have a conscience without offense toward God and men" (Acts 24:16). If our example leads othersto sin, we become stumbling blocks to those for whom Christ died. "Whoever claims to live in him must walk as Jesus did" (1 John 2:6, NIV).

Living to Minister

A major reason Christians live as they do is to save lost men and women. Said Paul, "I try to please everybody in every way. For I am not seeking my own good but the good of many, so that they may be saved" (1 Cor. 10:33, NIV; cf. Matt. 20:28).

Requirements and Guidelines

Because of the impact a person's lifestyle makes upon his spiritual experience and his witness, as a church organization we have set certain lifestyle standards as minimal requirements for becoming members. These standards include the abstention from tobacco, alcoholic beverages, mind-altering chemicals, and unclean foods and the evidence of a growing Christian experience in matters of dress and the use of leisure time. These minimal standards do not comprehend all of God's ideal for the believer. They simply signify essential first steps in developing a growing, radiant Christian experience. Such standards also provide the foundation essential to unity within the community of believers.

The development of Christian behavior—"God-likeness"—is progressive, involving a lifelong union with Christ. Holy living is nothing less than a daily yielding of the will to Christ's control and a daily conformity to His teachings as He reveals them to us in our Bible study and prayer. Because we mature at different rates, it is important that we refrain from judging weaker brothers or sisters (Rom. 14:1; 15:1).

Christians in union with the Saviour have but one ideal: that they shall do their best to honor the heavenly Father, who has provided such a rich plan for their salvation. "Therefore, whether you eat or drink, or whatever you do, do all to the glory of God" (1 Cor. 10:31).

×0001020304050607080910111213141516171819202122232425262728
1 Yohana 2X
1 Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, 2 naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote. 3 Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake. 4 Yeye asemaye, Nimemjua, wala hazishiki amri zake, ni mwongo, wala kweli haimo ndani yake. 5 Lakini yeye alishikaye neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli. Katika hili twajua ya kuwa tumo ndani yake. 6 Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda. 7 Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila amri ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Na hiyo amri ya zamani ni neno lile mlilolisikia. 8 Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu; kwa kuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kung'aa. 9 Yeye asemaye kwamba yumo nuruni, naye amchukia ndugu yake, yumo gizani hata sasa. 10 Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo. 11 Bali yeye amchukiaye ndugu yake, yu katika giza, tena anakwenda katika giza, wala hajui aendako, kwa sababu giza imempofusha macho. 12 Nawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu mmesamehewa dhambi zenu, kwa ajili ya jina lake. 13 Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba. 14 Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu. 15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele. 18 Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia kwamba mpinga Kristo yuaja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho. 19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu. 20 Nanyi mmepakwa mafuta na Yeye aliye Mtakatifu nanyi mnajua nyote. 21 Sikuwaandikia ninyi kwa sababu hamwijui iliyo kweli, bali kwa sababu mwaijua, tena kwamba hapana uongo wo wote utokao katika hiyo kweli. 22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana. 23 Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia. 24 Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana, na ndani ya Baba. 25 Na hii ndiyo ahadi aliyotuahidia, yaani, uzima wa milele. 26 Nimewaandikia haya katika habari za watu wale wanaotaka kuwapoteza. 27 Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake. 28 Na sasa, watoto wadogo, kaeni ndani yake, ili kusudi, atakapofunuliwa, mwe na ujasiri, wala msiaibike mbele zake katika kuja kwake. 29 Kama mkijua ya kuwa yeye ni mwenye haki, jueni ya kuwa kila atendaye haki amezaliwa na yeye.
Waefeso 5:1-21X
1 Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa; 2 mkaenende katika upendo, kama Kristo naye alivyowapenda ninyi tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato. 3 Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu; 4 wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali afadhali kushukuru. 5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu. 6 Mtu asiwadanganye kwa maneno yasiyo na maana; kwa kuwa kwa sababu ya hayo hasira ya Mungu huwajia wana wa uasi. 7 Basi msishirikiane nao. 8 Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; enendeni kama watoto wa nuru, 9 kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli; 10 mkihakiki ni nini impendezayo Bwana. 11 Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee; 12 kwa kuwa yanayotendeka kwao kwa siri, ni aibu hata kuyanena. 13 Lakini yote yaliyokemewa hudhihirishwa na nuru maana kila kilichodhihirika ni nuru. 14 Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza. 15 Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima; 16 mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu. 17 Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana. 18 Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; 19 mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; 20 na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo; 21 hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo.
Warumi 12:1, 2X
1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. 2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.
1 Wakorintho 6:19, 20X
19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; 20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
1 Wakorintho 10:31X
31 Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
1 Timotheo 2:9, 10X
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; 10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
M. Walawi 11:1-47X
1 Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia, 2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. 3 Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu ya kupasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala. 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 5 Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 6 Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. 8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. 9 Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao. 10 Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu, 11 watakuwa machukizo kwenu; msiile nyama yao, na mizoga yao itakuwa machukizo kwenu. 12 Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu. 13 Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu; 14 na mwewe, na kozi kwa aina zake, 15 na kila kunguru kwa aina zake; 16 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake; 17 na bundi, na mnandi, na bundi mkubwa; 18 na mumbi, na mwari, na mderi; 19 na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo. 20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu. 21 Pamoja na hayo, hivi vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne ni halali kula, hao walio na miguu mirefu, ya kurukia juu ya nchi; 22 katika hao mna ruhusa kuwala; nzige kwa aina zake, na nzige kuu kwa aina zake, na panzi kwa aina zake, na parare kwa aina zake. 23 Lakini vyote vitambaavyo vyenye mabawa, vilivyo na miguu minne, ni machukizo kwenu. 24 Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni; 25 na mtu awaye yote atakayechukua cho chote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni. 26 Kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, naye hana kwato mbili, wala hacheui, huyo ni najisi kwenu; kila agusaye wanyama hao atakuwa ni najisi. 27 Tena kila mnyama aendaye kwa vitanga vyake, katika hao wanyama wote waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu; awaye yote atakayegusa mizoga yao, atakuwa ni najisi hata jioni. 28 Na huyo atakayechukua mzoga wa wanyama hao atafua nguo zake, naye atakuwa ni najisi hata jioni; hao ni najisi kwenu 29 Tena katika vitu vile vitambaavyo, vitambaavyo juu ya nchi, hivi ni najisi kwenu; kicheche, na panya, na mjombakaka, kwa aina zake, 30 na guruguru na kenge, na mjusi na goromoe, na lumbwi. 31 Wanyama hao ndio walio najisi kwenu katika hao watambaao; awaye yote atakayewagusa, wakiisha kufa, atakuwa ni najisi hata jioni. 32 Tena kitu cho chote, wanyama hao mmojawapo atakachokiangukia, wakiisha kufa, kitakuwa ni najisi; kwamba ni chombo cha mti, au nguo, au ngozi, au gunia, chombo cho chote kitakachoangukiwa, ambacho ni chombo cha kufanyia kazi yo yote, lazima kitiwe ndani ya maji, nacho kitakuwa ni najisi hata jioni; ndipo kitakapokuwa ni safi. 33 Na kila chombo cha udongo, wanyama hao mmojawapo atakachokiangukia, kila kilichomo ndani yake kitakuwa ni najisi, na hicho chombo kitavunjwa. 34 Kila chakula kilichomo, ambacho ni kuliwa, hicho ambacho maji hutumiwa juu yake, kitakuwa ni najisi; na kila kinyweo ambacho ni cha kunywewa, kilichomo katika chombo kama hicho, kitakuwa ni najisi. 35 Na kila kitu kitakachoangukiwa na kipande cho chote cha mizoga yao kitakuwa najisi; kwamba ni tanuru, au meko ya vyungu, kitavunjwa vipande vipande; ni najisi vitu hivyo, navyo vitakuwa najisi kwenu. 36 Pamoja na hayo, chemchemi, au shimo, ambamo maji yakusanyika, vitakuwa ni safi; lakini hicho kitakachogusa mizoga yao kitakuwa ni najisi. 37 Na kipande cho chote cha mzoga kikiwa kimeangukia mbegu za kupandwa zitakazopandwa, zitakuwa safi. 38 Lakini kwamba hizo mbegu zilitiwa maji na cho chote cha mizoga yao kuziangukia, ni najisi kwenu. 39 Kama akifa mnyama awaye yote, ambaye mna ruhusa kumla, yeye anayeugusa mzoga wake atakuwa najisi hata jioni. 40 Na yeye atakayekula nyama ya mzoga wake atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni; yeye atakayeuchukua mzoga wake atafua nguo zake, naye atakuwa ni najisi hata jioni. 41 Na kila kitu kitambaacho juu ya nchi ni machukizo; hakitaliwa. 42 Kila aendaye kwa tumbo lake, na kila aendaye kwa miguu minne, na kila aendaye kwa miguu mingi, maana, ni vyote vyenye kutambaa vitambaavyo juu ya nchi, hamtavila, kwa kuwa ni machukizo. 43 Msifanye nafsi zenu kuwa ni chukizo kwa kitu cho chote chenye kutambaa, kitambaacho, wala msifanye nafsi zenu kuwa ni najisi kwa vitu hivyo, mkajipatia uchafu kwa hivyo. 44 Kwa kuwa mimi ni Bwana, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu; wala msitie uchafu nafsi zenu kwa kitu kitambaacho cha aina yo yote, kiendacho juu ya nchi. 45 Kwa kuwa mimi ni Bwana niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu. 46 Hii ndiyo sheria katika hao wanyama, na ndege, na kila kiumbe kilicho hai, kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi; 47 ili kupambanua kati ya hao walio najisi na hao walio safi, na kati ya kiumbe kilicho hai ambacho chaliwa, na hicho kilicho hai ambacho hakiliwi.
2 Wakorintho 6:4-7X
4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida; 5 katika mapigo, katika vifungo, katika fitina, katika taabu, katika kukesha, katika kufunga; 6 katika kuwa safi, katika elimu, katika uvumilivu, katika utu wema, katika Roho Mtakatifu, katika upendo usio unafiki; 7 katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za haki za mkono wa kuume na za mkono wa kushoto;
1 Petro 3:1-4X
1 Basi kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni silaha ya nia ile ile; kwa maana yeye aliyeteswa katika mwili ameachana na dhambi. 2 Tangu sasa msiendelee kuishi katika tamaa za wanadamu, bali katika mapenzi ya Mungu, wakati wenu uliobaki wa kukaa hapa duniani. 3 Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda mapenzi ya Mataifa; kuenenda katika ufisadi, na tamaa, na ulevi, na karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali; 4 mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyi kutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana.
2 Wakorintho 4:8X
8 Pande zote twadhikika, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;
Wafilipi 4:8X
8 Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo.
3 Yohana 1:2X
2 Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
Warumi 12:1, 2X
1 Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. 2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.
Yohana 17:15, 16X
15 Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu. 16 Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo wa ulimwengu.
Mathayo 11:19X
19 Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.
Yohana 8:46X
46 Ni nani miongoni mwenu anishuhudiaye ya kuwa nina dhambi? Nami nikisema kweli, mbona ninyi hamnisadiki?
Wagalatia 5:4X
4 Mmetengwa na Kristo, ninyi mtakao kuhesabiwa haki kwa sheria; mmeanguka na kutoka katika hali ya neema.
Wagalatia 5:13X
13 Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo.
Mathayo 18X
1 Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema, 2 Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, 3 akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama vitoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni. 4 Basi, ye yote ajinyenyekeshaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni. 5 Na ye yote atakayempokea mtoto mmoja mfano wa huyu kwa jina langu, anipokea mimi; 6 bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari. 7 Ole ni wa ulimwengu kwa sababu ya mambo ya kukosesha! Maana hayana budi kuja mambo ya kukosesha; lakini ole wake mtu yule aliletaye jambo la kukosesha! 8 Basi mkono wako au mguu wako ukikukosesha, ukate ukautupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima hali umepungukiwa na mkono au mguu, kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili, na kutupwa katika moto wa milele. 9 Na jicho lako likikukosesha, ling'oe, ukalitupe mbali nawe; ni afadhali kuingia katika uzima una chongo, kuliko kuwa na macho mawili, na kutupwa katika jehanum ya moto. 10 Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. 11 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea. 12 Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? 13 Hata akipata kumwona, amin, nawaambia, amfurahia huyo zaidi, kuliko wale tisa na tisini wasiopotea. 14 Vivyo hivyo haipendezi mbele za Baba yenu aliye mbinguni kwamba mmoja wa wadogo hawa apotee. 15 Na ndugu yako akikukosa, enenda ukamwonye, wewe na yeye peke yenu; akikusikia, umempata nduguyo. 16 La, kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike. 17 Na asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru. 18 Amin, nawaambieni, yo yote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yo yote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni. 19 Tena nawaambia, ya kwamba wawili wenu watakapopatana duniani katika jambo lo lote watakaloliomba, watafanyiwa na Baba yangu aliye mbinguni. 20 Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao. 21 Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba? 22 Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini. 23 Kwa sababu hii ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme mmoja aliyetaka kufanya hesabu na watumwa wake. 24 Alipoanza kuifanya, aliletewa mtu mmoja awiwaye talanta elfu kumi. 25 Naye alipokosa cha kulipa, bwana wake akaamuru auzwe, yeye na mkewe na watoto wake, na vitu vyote alivyo navyo, ikalipwe ile deni. 26 Basi yule mtumwa akaanguka, akamsujudia akisema, Bwana, nivumilie, nami nitakulipa yote pia. 27 Bwana wa mtumwa yule akamhurumia, akamfungua, akamsamehe ile deni. 28 Mtumwa yule akatoka, akamwona mmoja wa wajoli wake, aliyemwia dinari mia akamkamata,akamshika koo,akisema Nilipe uwiwacho. 29 Basi mjoli wake akaanguka miguuni pake, akamsihi, akisema, Nivumilie, nami nitakulipa yote pia. 30 Lakini hakutaka, akaenda, akamtupa kifungoni, hata atakapoilipa ile deni. 31 Basi wajoli wake walipoyaona yaliyotendeka, walisikitika sana, wakaenda wakamweleza bwana wao yote yaliyotendeka. 32 Ndipo bwana wake akamwita, akamwambia, Ewe mtumwa mwovu, nalikusamehe wewe deni ile yote, uliponisihi; 33 nawe, je! Haikukupasa kumrehemu mjoli wako, kama mimi nilivyokurehemu wewe? 34 Bwana wake akaghadhibika, akampeleka kwa watesaji, hata atakapoilipa deni ile yote. 35 Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.
Wagalatia 6:1, 2X
1 Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. 2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo.
1 Wakorintho 6:19X
19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe;
Mathayo 4:23X
23 Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya ugonjwa na udhaifu wa kila namna katika watu.
Yohana 10:10X
10 Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
Kutoka 15:26X
26 akawaambia, Kwamba utaisikiza kwa bidii sauti ya Bwana, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake, mimi sitatia juu yako maradhi yo yote niliyowatia Wamisri; kwa kuwa Mimi ndimi Bwana nikuponyaye.
Mithali 6:6-13X
6 Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima. 7 Kwa maana yeye hana akida, Wala msimamizi, wala mkuu, 8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno. 9 Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako? 10 Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi! 11 Hivyo umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha. 12 Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotofu. 13 Hukonyeza kwa macho, hunena kwa miguu, Huwaashiria watu kwa vidole vyake.
Mithali 14:23X
23 Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.
Mwanzo 2:5, 15X
5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.
Mwanzo 3:19X
19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.
Mwanzo 1:3X
3 Mungu akasema, Iwe nuru; ikawa nuru.
Kutoka 20:13X
13 Usiue.
K. Torati 33:28X
28 Na Israeli anakaa salama, Chemchemi ya Yakobo peke yake, Katika nchi ya ngano na divai; Naam, mbingu zake zadondoza umande.
K. Torati 14:26X
26 na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za Bwana, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;
1 Timotheo 5:23X
23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Tito 1:7X
7 Maana imempasa askofu awe mtu asiyeshitakiwa neno ,kwa kuwa ni wakili wa MUNGU;asiwe mtu wa kujipendeza nafsi yake,asiwe mwepesi wa hasira,asiwe mlevi wala mgomvi,asiwe mpenda mapato ya aibu.
Mathayo 19:8X
8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
1 Samweli 1:14X
14 Ndipo Eli akamwambia, Je! Utakuwa mlevi hata lini? Achilia mbali divai yako.
1 Wakorintho 6:19,20X
19 Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe; 20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.
Marko 6:31X
31 Akawaambia, Njoni ninyi peke yenu kwa faragha, mahali pasipokuwa na watu, mkapumzike kidogo. Kwa sababu walikuwako watu wengi, wakija, wakienda, hata haikuwapo nafasi ya kula.
Zaburi 46:10X
10 Acheni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu, Nitakuzwa katika mataifa, nitakuzwa katika nchi.
Kutoka 20:10X
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
1 Yohana 2:15, 16X
15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
Mathayo 5:29, 30X
29 Jicho lako la kuume likikukosesha, ling'oe ulitupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum. 30 Na mkono wako wa kuume ukikukosesha, ukate uutupe mbali nawe; kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehanum.
2 Wakorintho 3:18X
18 Lakini sisi sote, kwa uso usiotiwa utaji, tukiurudisha utukufu wa Bwana, kama vile katika kioo, tunabadilishwa tufanane na mfano uo huo, toka utukufu hata utukufu, kama vile kwa utukufu utokao kwa Bwana, aliye Roho.
Mithali 4:23X
23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Wafilipi 4:8X
8 Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo.
Warumi 13:11-14X
11 Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu u karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini 12 Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru. 13 Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. 14 Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.
1 Petro 2:11X
11 Wapenzi, nawasihi kama wapitaji na wasafiri, ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho.
1 Yohana 2:15-17X
15 Msiipende dunia, wala mambo yaliyomo katika dunia. Mtu akiipenda dunia, kumpenda Baba hakumo ndani yake. 16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia. 17 Na dunia inapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu hata milele.
Wafilipi 4:8X
8 Hatimaye, ndugu zangu, mambo yo yote yaliyo ya kweli, yo yote yaliyo ya staha, yo yote yaliyo ya haki, yo yote yaliyo safi, yo yote yenye kupendeza, yo yote yenye sifa njema; ukiwapo wema wo wote, ikiwapo sifa nzuri yo yote, yatafakarini hayo.
Mwanzo 1:29X
29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
Mwanzo 3:18X
18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni;
Mwanzo 9:3-5X
3 Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote. 4 Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile. 5 Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.
Mwanzo 7:2, 3X
2 Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, mume na mke; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, mume na mke. 3 Tena katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.
Mwanzo 8:20X
20 Nuhu akamjengea Bwana madhabahu; akatwaa katika kila mnyama aliye safi, na katika kila ndege aliye safi, akavitoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.
M. Walawi 11X
1 Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia, 2 Neneni na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. 3 Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu ya kupasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala. 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 5 Na wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 6 Na sungura, kwa sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 7 Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. 8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu. 9 Katika hao wote walio ndani ya maji mtakula hawa; kila aliye na mapezi na magamba, ndani ya hayo maji, na ndani ya bahari, na ndani ya mito, mtakula hao. 10 Na hao wote wasio na mapezi na magamba, ndani ya bahari, na ndani ya mito, katika hao waendao majini, na katika wote wenye uhai, waliomo majini, hao ni machukizo kwenu, 11 watakuwa machukizo kwenu; msiile nyama yao, na mizoga yao itakuwa machukizo kwenu. 12 Kila asiye na mapezi wala magamba aliye ndani ya maji ni machukizo kwenu. 13 Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu; 14 na mwewe, na kozi kwa aina zake, 15 na kila kunguru kwa aina zake; 16 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake; 17 na bundi, na mnandi, na bundi mkubwa; 18 na mumbi, na mwari, na mderi; 19 na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo. 20 Tena vyote vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne, hivi ni machukizo kwenu. 21 Pamoja na hayo, hivi vitambaavyo vyenye mabawa viendavyo kwa miguu minne ni halali kula, hao walio na miguu mirefu, ya kurukia juu ya nchi; 22 katika hao mna ruhusa kuwala; nzige kwa aina zake, na nzige kuu kwa aina zake, na panzi kwa aina zake, na parare kwa aina zake. 23 Lakini vyote vitambaavyo vyenye mabawa, vilivyo na miguu minne, ni machukizo kwenu. 24 Nanyi mtakuwa najisi kwa wanyama hao; kila atakayegusa mzoga wao atakuwa ni najisi hata jioni; 25 na mtu awaye yote atakayechukua cho chote cha mizoga yao atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni. 26 Kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, naye hana kwato mbili, wala hacheui, huyo ni najisi kwenu; kila agusaye wanyama hao atakuwa ni najisi. 27 Tena kila mnyama aendaye kwa vitanga vyake, katika hao wanyama wote waendao kwa miguu minne, hao ni najisi kwenu; awaye yote atakayegusa mizoga yao, atakuwa ni najisi hata jioni. 28 Na huyo atakayechukua mzoga wa wanyama hao atafua nguo zake, naye atakuwa ni najisi hata jioni; hao ni najisi kwenu 29 Tena katika vitu vile vitambaavyo, vitambaavyo juu ya nchi, hivi ni najisi kwenu; kicheche, na panya, na mjombakaka, kwa aina zake, 30 na guruguru na kenge, na mjusi na goromoe, na lumbwi. 31 Wanyama hao ndio walio najisi kwenu katika hao watambaao; awaye yote atakayewagusa, wakiisha kufa, atakuwa ni najisi hata jioni. 32 Tena kitu cho chote, wanyama hao mmojawapo atakachokiangukia, wakiisha kufa, kitakuwa ni najisi; kwamba ni chombo cha mti, au nguo, au ngozi, au gunia, chombo cho chote kitakachoangukiwa, ambacho ni chombo cha kufanyia kazi yo yote, lazima kitiwe ndani ya maji, nacho kitakuwa ni najisi hata jioni; ndipo kitakapokuwa ni safi. 33 Na kila chombo cha udongo, wanyama hao mmojawapo atakachokiangukia, kila kilichomo ndani yake kitakuwa ni najisi, na hicho chombo kitavunjwa. 34 Kila chakula kilichomo, ambacho ni kuliwa, hicho ambacho maji hutumiwa juu yake, kitakuwa ni najisi; na kila kinyweo ambacho ni cha kunywewa, kilichomo katika chombo kama hicho, kitakuwa ni najisi. 35 Na kila kitu kitakachoangukiwa na kipande cho chote cha mizoga yao kitakuwa najisi; kwamba ni tanuru, au meko ya vyungu, kitavunjwa vipande vipande; ni najisi vitu hivyo, navyo vitakuwa najisi kwenu. 36 Pamoja na hayo, chemchemi, au shimo, ambamo maji yakusanyika, vitakuwa ni safi; lakini hicho kitakachogusa mizoga yao kitakuwa ni najisi. 37 Na kipande cho chote cha mzoga kikiwa kimeangukia mbegu za kupandwa zitakazopandwa, zitakuwa safi. 38 Lakini kwamba hizo mbegu zilitiwa maji na cho chote cha mizoga yao kuziangukia, ni najisi kwenu. 39 Kama akifa mnyama awaye yote, ambaye mna ruhusa kumla, yeye anayeugusa mzoga wake atakuwa najisi hata jioni. 40 Na yeye atakayekula nyama ya mzoga wake atafua nguo zake, naye atakuwa najisi hata jioni; yeye atakayeuchukua mzoga wake atafua nguo zake, naye atakuwa ni najisi hata jioni. 41 Na kila kitu kitambaacho juu ya nchi ni machukizo; hakitaliwa. 42 Kila aendaye kwa tumbo lake, na kila aendaye kwa miguu minne, na kila aendaye kwa miguu mingi, maana, ni vyote vyenye kutambaa vitambaavyo juu ya nchi, hamtavila, kwa kuwa ni machukizo. 43 Msifanye nafsi zenu kuwa ni chukizo kwa kitu cho chote chenye kutambaa, kitambaacho, wala msifanye nafsi zenu kuwa ni najisi kwa vitu hivyo, mkajipatia uchafu kwa hivyo. 44 Kwa kuwa mimi ni Bwana, Mungu wenu; takaseni nafsi zenu basi; iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu; wala msitie uchafu nafsi zenu kwa kitu kitambaacho cha aina yo yote, kiendacho juu ya nchi. 45 Kwa kuwa mimi ni Bwana niliyewaleta kutoka nchi ya Misri, ili kwamba niwe Mungu wenu; basi mtakuwa watakatifu, kwa kuwa mimi ni Mtakatifu. 46 Hii ndiyo sheria katika hao wanyama, na ndege, na kila kiumbe kilicho hai, kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kitambaacho juu ya nchi; 47 ili kupambanua kati ya hao walio najisi na hao walio safi, na kati ya kiumbe kilicho hai ambacho chaliwa, na hicho kilicho hai ambacho hakiliwi.
K. Torati 14X
1 Ninyi mmekuwa wana wa Bwana, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho yenu kwa ajili ya aliyekufa. 2 Kwa kuwa u taifa takatifu kwa Bwana, Mungu wako, na Bwana amekuchagua kuwa watu wake hasa, kuliko mataifa yote yaliyo juu ya uso wa nchi. 3 Usile kitu cho chote kichukizacho. 4 Wanyama mtakaokula ni hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi, 5 kulungu, na paa, na kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima; 6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama wote, ndiye mnyama mtakayemla. 7 Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu; 8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse. 9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na mapezi na magamba mtakula; 10 na kila kisichokuwa na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu. 11 Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi. 12 Lakini hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu; 13 na kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake; 14 na kila kunguru kwa aina zake; 15 na mbuni, na kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake; 16 na bundi, na mumbi, na bundi mkubwa; 17 na mwari, na nderi, na mnandi; 18 na membe, na koikoi, kwa aina zake; na hudihudi, na popo. 19 Na wadudu wote watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale. 20 Mna ruhusa kula katika nyuni wote walio safi. 21 Msile nyamafu yo yote; waweza kumpa mgeni aliye ndani ya malango yako, ili apate kula; au kumliza mtu wa mataifa; kwa kuwa wewe u taifa takatifu kwa Bwana, Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mamaye. 22 Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. 23 Nawe utakula mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng'ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha Bwana, Mungu wako, daima. 24 Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua Bwana, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia Bwana, Mungu wako; 25 ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako; 26 na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za Bwana, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako; 27 na Mlawi aliye ndani ya malango yako usimwache, kwani hana fungu wala urithi pamoja nawe. 28 Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako; 29 na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba Bwana, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.
M. Walawi 20:24-26X
24 Lakini mimi nimewaambia ninyi, Mtairithi nchi yao, nami nitawapa ninyi kuimiliki; nchi iliyojaa maziwa na asali; mimi ni Bwana, Mungu wenu, niliyewatenga ninyi na mataifa. 25 Kwa ajili ya hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye safi na mnyama aliye najisi, na kati ya ndege aliye tohara na ndege aliye najisi; nanyi msizifanye nafsi zenu kuwa machukizo kwa njia ya mnyama, au kwa njia ya ndege, au kwa njia ya kitu cho chote ambacho nchi imejaa nacho, niliowatenga nanyi kuwa ni najisi. 26 Nanyi mtakuwa watakatifu kwangu mimi; kwa kuwa mimi Bwana ni mtakatifu nami nimewatenga ninyi na mataifa, ili kwamba mwe wangu.
K. Torati 14:2X
2 Hii ndiyo sheria ya mwenye ukoma, katika siku ya kutakaswa kwake; ataletwa kwa kuhani,
Warumi 14:2, 14, 20, 23X
2 Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga. 14 Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi. 20 Kwa ajili ya chakula usiiharibu kazi ya Mungu. Kweli, vyote ni safi; bali ni vibaya kwa mtu alaye na kujikwaza. 23 Lakini aliye na shaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.
Matendo 10:14, 15X
14 Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi. 15 Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi.
Yohana 17:17X
17 Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.
1 Timotheo 4:4, 5X
4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; 5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Marko 7:19X
19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Mwanzo 2:25X
25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
Mwanzo 3:21X
21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
Mathayo 6:25-33X
25 Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi? 26 Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kupita hao? 27 Ni yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja? 28 Na mavazi, ya nini kuyasumbukia? Fikirini maua ya mashamba, jinsi yameavyo; hayafanyi kazi, wala hayasokoti 29 nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo. 30 Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba? 31 Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini? 32 Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote. 33 Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
1 Wakorintho 10:31X
31 Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
1 Yohana 2:16X
16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
1 Wakorintho 4:1X
1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu.
1 Timotheo 2:9X
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
K. Torati 22:5X
5 Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
1 Yohana 2:16X
16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.
Mathayo 6:29X
29 nami nawaambia, ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.
1 Timotheo 2:9X
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
1 Petro 3:1-4X
1 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno; 2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu. 3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi; 4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
1 Petro 3:3X
3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
1 Timotheo 2:9, 10X
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani; 10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Mwanzo 35:2, 4X
2 Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake, na wote waliokuwa pamoja naye, Ondoeni miungu migeni iliyoko kwenu, mjisafishe mkabadili nguo zenu.
1 Wakorintho 10:11X
11 Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.
2 Wafalme 9:30X
30 Hata Yehu alipofika Yezreeli, Yezebeli akapata habari; akatia uwanja machoni mwake, akapamba kichwa chake, akachungulia dirishani.
Yeremia 4:30X
30 Na wewe, utakapotekwa, utafanyaje? Ujapojivika mavazi mekundu, ujapojipamba mapambo ya dhahabu, ujapojitia wanja machoni, unajifanya kuwa mzuri bure tu; wapenzi wako wanakudharau; wanakutafuta roho yako.
Yohana 3:8X
8 Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.
Wagalatia 5:22, 23X
22 Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, 23 upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.
Wafilipi 2:5X
5 Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
1 Wakorintho 2:16X
16 Maana, Ni nani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia ya Kristo.
Zaburi 63:2-5X
2 Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako. 3 Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai; Midomo yangu itakusifu. 4 Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu. 5 Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.
1 Yohana 3:22X
22 na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.
Waefeso 5:10X
10 mkihakiki ni nini impendezayo Bwana.
1 Wakorintho 5:15a href="#close" title="Close" class="close">X
11 Lakini, mambo yalivyo, naliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.
1 Wakorintho 10:31X
31 Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
1 Wakorintho 10:32X
32 Msiwakoseshe Wayahudi wala Wayunani wala kanisa la Mungu,
Matendo 24:16X
16 Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote.
Luka 17:1, 2X
1 Akawaambia wanafunzi wake, Makwazo hayana budi kuja, lakini ole wake mtu yule ambaye yaja kwa sababu yake! 2 Ingemfaa zaidi mtu huyo jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake, akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa wadogo hawa.
1 Yohana 2:6X
6 Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.
1 Wakorintho 10:33X
33 vile vile kama mimi niwapendezavyo watu wote katika mambo yote, nisitake faida yangu mwenyewe, ila faida yao walio wengi, wapate kuokolewa.
Mathayo 20:28X
28 kama vile Mwana wa Adamu asivyokuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi.
Warumi 14:1X
1 Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake.
Warumi 15:1X
1 Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.
1 Wakorintho 10:31X
31 Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.